Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
ivi sup ndo nn?tuambizane maana wengne twaja huko afu hatujui.
Supp ni kozi au somo unalotakiwa kurudia mtihani mara baada ya kushindwa kufikia grade C ambayo ndo kiwango cha chini cha ufaulu kwa degree
inategemea na wastani na taratibu za ukokotoaji ufaulu wa chuo husika