Fasouls
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 937
- 319
Haina haja ya kucalculate,,, naona ulijipinda ktk baadhi ya course zingine ukazipa kisogo.
Hata hivo nimegundua kuwa hujapita udsm. Umepita saint john au somewhere else
Dogo soma achana na maswala ya college kinachoangaliwa ni kutusua ktk maisha hata ungesoma wapi,nimemesoma hapo udBS...na ukimaliza nitafute