Kuna ile mechi baada ya kumaliza ugomvi, Oya weee acha kabisa !!

Kuna ile mechi baada ya kumaliza ugomvi, Oya weee acha kabisa !!

Baada ya kukuchunia kwa muda mrefu unafanikiwa kumshawishi akusamehe, anaridhia, anakutamkia kwa sauti iliyojaa upole na mahaba "Ila baby usirudie tena"

kinachofuata hapo mnaangaliana machoni kwa hisia kali, kiss na mikumbatio ya nguvu, baada ya hapo mnatupana kuingia uwanja wa 6x6,

mechi huwa inapigwa mwanzo mwisho bila mapumziko kwa staili moja ama mbili tu hainaga makeke ya kuonyeshana ufundi wa kubadili badili staili

sijui inakuwaga nini ile, kila mtu anamuona mwenzie kama mpya
Hahahahahahaaaa…wachaaa kabisaa
 
Back
Top Bottom