Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,843
- 31,057
Tumekuwa kwenye foleni ya magari toka Saa 7 mchana, Hadi muda huu wa saa 11 jioni, ndiyo foleni hiyo ya magari imeanza kufunguka.
Tunaomba watu wa "traffic Police" watueleze tatizo lilikuwa nini?
Kwa kuwa watu wengi wameathirika Sana Kwa kuchelewa kufika makwao Kwa zaidi ya massa 3
Tunaomba watu wa "traffic Police" watueleze tatizo lilikuwa nini?
Kwa kuwa watu wengi wameathirika Sana Kwa kuchelewa kufika makwao Kwa zaidi ya massa 3