Kuna "jam" ya kufa mtu hapa Maseyu-Morogoro!

Kuna "jam" ya kufa mtu hapa Maseyu-Morogoro!

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Tumekuwa kwenye foleni ya magari toka Saa 7 mchana, Hadi muda huu wa saa 11 jioni, ndiyo foleni hiyo ya magari imeanza kufunguka.

Tunaomba watu wa "traffic Police" watueleze tatizo lilikuwa nini?

Kwa kuwa watu wengi wameathirika Sana Kwa kuchelewa kufika makwao Kwa zaidi ya massa 3
 
Back
Top Bottom