Tetesi: Kuna jambo alikuwa analisikilizia Dkt. Slaa, ana tamaa za fisi

Tetesi: Kuna jambo alikuwa analisikilizia Dkt. Slaa, ana tamaa za fisi

Kabla ya Dkt Slaa kumaliza muda wake wa ubalozi aliwahi kuhojiwa tarehe 5 Oktoba 2021 siku chache tu kabla kipindi chake cha Ubalozi kukamilika alinukuliwa akisema ๐ค๐š๐ญ๐ข๐›๐š ๐ฆ๐ฉ๐ฒ๐š ๐ฌ๐ข ๐ฆ๐ฎ๐ก๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐š๐ฌ๐š๐ฌ๐š ๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ ๐ฃ๐ข๐›๐ฎ ๐ฅ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐š๐ญ๐ข๐ณ๐จ ๐ฒ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ง๐œ๐ก๐ข vilevile asingependa kuwa mshauri wa mambo ya siasa. (๐–๐š๐ง๐š๐ก๐š๐ซ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐ง๐š๐ค๐š๐ฅ๐š ๐ฆ๐ง๐š๐ฒ๐จ ๐ฆ๐ฌ๐ข๐ฃ๐ข๐ฌ๐š๐ก๐š๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐ž).

Only person with a single digit IQ anaweza kumuamini kuwa Dkt Slaa anasema ukweli..! Kuna jambo alikuwa analisikilizia ๐ก๐š๐ฉ๐š.

Dkt. Slaa alikwenda mbali zaidi na kukiri mambo makubwa mawili ndani ya CHADEMA.

May be he was absolutely right na kusema kwamba ndani ya CHADEMA kuna vikundi vya Utekaji inawezekana waliompiga Lissu risasi ni CHADEMA wenyewe.!

Anakiri wazi aliwahi kuisema serikali na usalama wa Taifa kwa mambo yaliyofanywa na ๐‚๐‡๐€๐ƒ๐„๐Œ๐€ wenyewe kwa kuita waandishi wa vyombo vya habari.

Jambo la Pili ni kuwashukia vikali wale wafuasi wa CHADEMA waliokuwa wakisema ๐Œ๐›๐จ๐ฐ๐ž ๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ ๐†๐š๐ข๐๐ข, Dkt Slaa alisema anachukizwa wazi anaposikia sauti za watu wakisema Mbowe siyo Gaidi na hapendi kusikia hayo maneno.

Kwa kipindi chote hiki Dkt. Slaa alikuwa anatega kuendelea huenda akateuliwa kuwa Balozi au kupewa nafasi nyingine tatizo amekosa kile kinachoitwa Politics maturity so he failed an art of staying sober without being in a position.

Maisha bila cheo ni magumu. Uvumilivu umemshinda Dkt Slaa kupitia sauti ya Wananchi chama alichotaka kukiasisi kupitia kwa watu fulani (๐“๐ฎ๐ญ๐š๐ฐ๐š๐ญ๐š๐ฃ๐š) aliona kitachukua muda mrefu kupata usajili ameomba ๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐ฅ๐š ๐Ÿ๐ž๐๐ก๐š wameketi mezani na Mbowe kwa ajili ya kupata share yake.

Muda wowote kuanzia sasa Dkt. Slaa anaingia CHADEMA kama mmiliki mwenza pamoja na Mbowe ameomba kupewa nafasi ya Naibu Mwenyekiti cheo ambacho kimsingi hakipo kwenye katiba ya CHADEMA.

๐Œ๐จ๐ญ๐จ ๐ฎ๐ฆ๐ž๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐Œ๐ง๐ฒ๐ข๐ค๐š, ๐Œ๐ฐ๐š๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ง๐š ๐‹๐ข๐ฌ๐ฌ๐ฎ. ๐‡๐š๐ฐ๐š๐ฆ๐ญ๐š๐ค๐ข....!!!
Huyo mzee maisha yamempiga kofi kawa chapombe.

Pale UWT kakuta handlers wengine, mabahili kama nini.
 
Huyo mzee maisha yamempiga kofi kawa chapombe.

Pale UWT kakuta handlers wengine, mabahili kama nini.
Maisha yake yanakuhusu nini mwenzangu!

Unamshambulia kibinafsi unaacha kujadili hoja zake? Ukijipima wewe na yeye nani mjinga?
 
Dkt. Slaa ni msalii kwa asili, alishindwa kuwa Padri akamuoa Rose Kamili akamuacha kisa penzi la Josephine mashumbusi mtu aliyeshindwa kusimamia upadri kwa tamaa za mwili akashindwa hawezi kusimamia imani yoyote ile hapa Duniani zaidi ya tumbo lake.
๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Masisiem bhana!

Wewe umewahi kumlisha hata siku moja? Umechangia nini kwenye maisha ya Dr.Slaa wewe

Unashambulia maisha yake ya kwako mbona hayasemwi?

Zungumzia hoja zake! Wewe mwenyewe umekamilika?

Acheni ujinga wenu ccm
 
Kabla ya Dkt Slaa kumaliza muda wake wa ubalozi aliwahi kuhojiwa tarehe 5 Oktoba 2021 siku chache tu kabla kipindi chake cha Ubalozi kukamilika alinukuliwa akisema ๐ค๐š๐ญ๐ข๐›๐š ๐ฆ๐ฉ๐ฒ๐š ๐ฌ๐ข ๐ฆ๐ฎ๐ก๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐š๐ฌ๐š๐ฌ๐š ๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ ๐ฃ๐ข๐›๐ฎ ๐ฅ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐š๐ญ๐ข๐ณ๐จ ๐ฒ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ง๐œ๐ก๐ข vilevile asingependa kuwa mshauri wa mambo ya siasa. (๐–๐š๐ง๐š๐ก๐š๐ซ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐ง๐š๐ค๐š๐ฅ๐š ๐ฆ๐ง๐š๐ฒ๐จ ๐ฆ๐ฌ๐ข๐ฃ๐ข๐ฌ๐š๐ก๐š๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐ž).

Only person with a single digit IQ anaweza kumuamini kuwa Dkt Slaa anasema ukweli..! Kuna jambo alikuwa analisikilizia ๐ก๐š๐ฉ๐š.

Dkt. Slaa alikwenda mbali zaidi na kukiri mambo makubwa mawili ndani ya CHADEMA.

May be he was absolutely right na kusema kwamba ndani ya CHADEMA kuna vikundi vya Utekaji inawezekana waliompiga Lissu risasi ni CHADEMA wenyewe.!

Anakiri wazi aliwahi kuisema serikali na usalama wa Taifa kwa mambo yaliyofanywa na ๐‚๐‡๐€๐ƒ๐„๐Œ๐€ wenyewe kwa kuita waandishi wa vyombo vya habari.

Jambo la Pili ni kuwashukia vikali wale wafuasi wa CHADEMA waliokuwa wakisema ๐Œ๐›๐จ๐ฐ๐ž ๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ ๐†๐š๐ข๐๐ข, Dkt Slaa alisema anachukizwa wazi anaposikia sauti za watu wakisema Mbowe siyo Gaidi na hapendi kusikia hayo maneno.

Kwa kipindi chote hiki Dkt. Slaa alikuwa anatega kuendelea huenda akateuliwa kuwa Balozi au kupewa nafasi nyingine tatizo amekosa kile kinachoitwa Politics maturity so he failed an art of staying sober without being in a position.

Maisha bila cheo ni magumu. Uvumilivu umemshinda Dkt Slaa kupitia sauti ya Wananchi chama alichotaka kukiasisi kupitia kwa watu fulani (๐“๐ฎ๐ญ๐š๐ฐ๐š๐ญ๐š๐ฃ๐š) aliona kitachukua muda mrefu kupata usajili ameomba ๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐ฅ๐š ๐Ÿ๐ž๐๐ก๐š wameketi mezani na Mbowe kwa ajili ya kupata share yake.

Muda wowote kuanzia sasa Dkt. Slaa anaingia CHADEMA kama mmiliki mwenza pamoja na Mbowe ameomba kupewa nafasi ya Naibu Mwenyekiti cheo ambacho kimsingi hakipo kwenye katiba ya CHADEMA.

๐Œ๐จ๐ญ๐จ ๐ฎ๐ฆ๐ž๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐Œ๐ง๐ฒ๐ข๐ค๐š, ๐Œ๐ฐ๐š๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ง๐š ๐‹๐ข๐ฌ๐ฌ๐ฎ. ๐‡๐š๐ฐ๐š๐ฆ๐ญ๐š๐ค๐ข....!!!
Dr Slaa sasa ni muda wa kupata maumivu waliyopitia wenzake na yeye akawabeza kisa yupo high table na Ccm wanakula Kuku kwa mrija.

Sasa ni zamu yake ya kula ugali mbele mboga nyuma.

Malipo ni hapahapa duniani, Ccm haina urafiki na mtu.
 
Dr Slaa katumwa na Pengo....
Plan Yao iko so simple...
Iwapo Samia atazuiwa 2025 Kwa heri au Kwa shari...ikifika 2025 Ule mchezo WA kubadilishana muislam na mkristo unaanza tena...so Padri Philip Mpango anakuwa na nafasi kubwa...
Slaa ni attacking dog wa Pengo...project ni Philip Mpango basi...
Chadema wanatumika tu kama presha group......
Kwa nini Mpango ana nafasi kubwa??
 
Uzalendo wa Dr Slaa Si wa kutiliwa shaka.

Free our Prophets๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Kabla ya Dkt Slaa kumaliza muda wake wa ubalozi aliwahi kuhojiwa tarehe 5 Oktoba 2021 siku chache tu kabla kipindi chake cha Ubalozi kukamilika alinukuliwa akisema ๐ค๐š๐ญ๐ข๐›๐š ๐ฆ๐ฉ๐ฒ๐š ๐ฌ๐ข ๐ฆ๐ฎ๐ก๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐š๐ฌ๐š๐ฌ๐š ๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ ๐ฃ๐ข๐›๐ฎ ๐ฅ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐š๐ญ๐ข๐ณ๐จ ๐ฒ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ง๐œ๐ก๐ข vilevile asingependa kuwa mshauri wa mambo ya siasa. (๐–๐š๐ง๐š๐ก๐š๐ซ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐ง๐š๐ค๐š๐ฅ๐š ๐ฆ๐ง๐š๐ฒ๐จ ๐ฆ๐ฌ๐ข๐ฃ๐ข๐ฌ๐š๐ก๐š๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐ž).

Only person with a single digit IQ anaweza kumuamini kuwa Dkt Slaa anasema ukweli..! Kuna jambo alikuwa analisikilizia ๐ก๐š๐ฉ๐š.

Dkt. Slaa alikwenda mbali zaidi na kukiri mambo makubwa mawili ndani ya CHADEMA.

May be he was absolutely right na kusema kwamba ndani ya CHADEMA kuna vikundi vya Utekaji inawezekana waliompiga Lissu risasi ni CHADEMA wenyewe.!

Anakiri wazi aliwahi kuisema serikali na usalama wa Taifa kwa mambo yaliyofanywa na ๐‚๐‡๐€๐ƒ๐„๐Œ๐€ wenyewe kwa kuita waandishi wa vyombo vya habari.

Jambo la Pili ni kuwashukia vikali wale wafuasi wa CHADEMA waliokuwa wakisema ๐Œ๐›๐จ๐ฐ๐ž ๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ ๐†๐š๐ข๐๐ข, Dkt Slaa alisema anachukizwa wazi anaposikia sauti za watu wakisema Mbowe siyo Gaidi na hapendi kusikia hayo maneno.

Kwa kipindi chote hiki Dkt. Slaa alikuwa anatega kuendelea huenda akateuliwa kuwa Balozi au kupewa nafasi nyingine tatizo amekosa kile kinachoitwa Politics maturity so he failed an art of staying sober without being in a position.

Maisha bila cheo ni magumu. Uvumilivu umemshinda Dkt Slaa kupitia sauti ya Wananchi chama alichotaka kukiasisi kupitia kwa watu fulani (๐“๐ฎ๐ญ๐š๐ฐ๐š๐ญ๐š๐ฃ๐š) aliona kitachukua muda mrefu kupata usajili ameomba ๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐ฅ๐š ๐Ÿ๐ž๐๐ก๐š wameketi mezani na Mbowe kwa ajili ya kupata share yake.

Muda wowote kuanzia sasa Dkt. Slaa anaingia CHADEMA kama mmiliki mwenza pamoja na Mbowe ameomba kupewa nafasi ya Naibu Mwenyekiti cheo ambacho kimsingi hakipo kwenye katiba ya CHADEMA.

๐Œ๐จ๐ญ๐จ ๐ฎ๐ฆ๐ž๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐Œ๐ง๐ฒ๐ข๐ค๐š, ๐Œ๐ฐ๐š๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ง๐š ๐‹๐ข๐ฌ๐ฌ๐ฎ. ๐‡๐š๐ฐ๐š๐ฆ๐ญ๐š๐ค๐ข....!!!
Haya uliyaandika ukiwa na akili timamu?
 
Back
Top Bottom