Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Kila mtu anaongea lakini sijaiona anaezungumzia Exercises,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole yake sana!
Pole sana ndugu. Ulcers inasababisha gesi,gesi inapunguza nguvu za kiume na inaleta uchovu. Tumia hiyo dozi kama ulivyoelekezwa, kama hutapata matokeo (kitaalamu dawa moja inaweza kumtibu mtu mmoja na isimtibu mtu mwingine, ndiyo maana ugonjwa mmoja kama malaria kuna dozi nyingi). Kama hujapata matokeo tafuta mmea unaitwa mkandandogowe (psorospermum febrifegum) uandae unga wake na kunywa asubhi na jioni kwa siku 28 utakaa sawa kwa uwezo wa Muumba. Mmea huu umaliza H pylory na hudhibiti kemikali ya Histamine 2Umuofia kwenu Wakuu.
Ni zaidi ya wiki sasa mwili wangu ni dhaifudhaifu. Yaani balansi ya mwili haijakaa sawa, japo ninaweza kufanya mambo yangu bila tatizo.
Nimepima vipimo zaidi ya 10 mpaka sasa. Miongoni ni full blood picture ambayo ilionesha kinga za mwili ziko chini, ie white blood cells kuwa 3.5 badala ya 4 na kuendelea.
Then after, vipimo nilivyopima:
1. HIV -negative
2. Hepatitis B - negative
Niligundulika pia nina ulcers, na hapa ninakaribia kumaliza dozi ya wiki 1 (heligo 500).
Kiukweli ninajiuliza maswali, kama ulcers pekee zinaweza kushusha kinga na kufanya mwili uwe dhaifu hivi au kuna underlying cause ambayo haijajulikana?
Naombeni msaada wa mawazo.
Shukrani ndugu.Pole sana ndugu. Ulcers inasababisha gesi,gesi inapunguza nguvu za kiume na inaleta uchovu. Tumia hiyo dozi kama ulivyoelekezwa, kama hutapata matokeo (kitaalamu dawa moja inaweza kumtibu mtu mmoja na isimtibu mtu mwingine, ndiyo maana ugonjwa mmoja kama malaria kuna dozi nyingi). Kama hujapata matokeo tafuta mmea unaitwa mkandandogowe (psorospermum febrifegum) uandae unga wake na kunywa asubhi na jioni kwa siku 28 utakaa sawa kwa uwezo wa Muumba. Mmea huu umaliza H pylory na hudhibiti kemikali ya Histamine 2