Kuna jambo silielewi elewi. Mahusiano na jamii kuna kitendawili nashindwa kutegua'

Kuna jambo silielewi elewi. Mahusiano na jamii kuna kitendawili nashindwa kutegua'

Una bahati sana unapendwa na malaika wako kule Kenye wangekuua kabisa shukuru ulisahau mkoba tu na aibu uliyoipata
 
Mimi kama mimi sijapata concept hapa... ila wanakuja
Ni kama anatuambia sasa kafungua fremu, halafu ni mnywaji wa savana zikizidi sana tatu na siku alipopoteza pochi yake alikuwa amekunywa savana na kuchanganya na k - vant. Sasa anaona amepoteza heshima yake, kwa kutupiwa ID zake.
 
Ni kama anatuambia sasa kafungua fremu, halafu ni mnywaji wa savana zikizidi sana tatu na siku alipopoteza pochi yake alikuwa amekunywa savana na kuchanganya na k - vant. Sasa anaona amepoteza heshima yake, kwa kutupiwa ID zake.
Kama hivyo sawa.. Annie X6 pole kipenzi, ujifunze kutokulewa sana siku nyingine
 
Mwanenu jambo si jambo sielewi kabisa.

Mtaani kwangu kuna mambo nahisi hayajakaa sawa. Uchangamfu wa majirani sio huu ninaoujua, tunezoea kuchangamkiana katik salam na mambo mengine.

Kwa kawaida nikiwa kijiweni(golini) kukusanya maokoto lazima nipitie sehem na mabest zangu kupata savanna 2 hadi 3.

Siku moja nilikunywa kinywaji kwa kuchanganya nilipoteza au niite kuusahau mkoba wangu. Waliookota wakachukua vyao wakautupia dustbin kwa kweli niliumia sana. Ukiwa na ID mbalimbali ukatupwa.

Siku hiyo nipoteza heshima kwa kweli, je hii inatosha kuona utofauti na wananchi wenzangu.

Ninahisi wabaya wangu ni mashosti. Hiki ni kama kitendawili
Pombe haijawahi kumuacha mtu salama.
 
Mwanenu jambo si jambo sielewi kabisa.

Mtaani kwangu kuna mambo nahisi hayajakaa sawa. Uchangamfu wa majirani sio huu ninaoujua, tunezoea kuchangamkiana katik salam na mambo mengine.

Kwa kawaida nikiwa kijiweni(golini) kukusanya maokoto lazima nipitie sehem na mabest zangu kupata savanna 2 hadi 3.

Siku moja nilikunywa kinywaji kwa kuchanganya nilipoteza au niite kuusahau mkoba wangu. Waliookota wakachukua vyao wakautupia dustbin kwa kweli niliumia sana. Ukiwa na ID mbalimbali ukatupwa.

Siku hiyo nipoteza heshima kwa kweli, je hii inatosha kuona utofauti na wananchi wenzangu.

Ninahisi wabaya wangu ni mashosti. Hiki ni kama kitendawili
Ulikunywa kwa kuchanganya pombe...Apo pia unataka umlaumu mtu
 
Sio wote wanaokuchekea wanakupenda...

Wengine wanakusanifu...
 
Yawezekana ulifanya au ulifanyiwa vitu vya ajabu!
 
Back
Top Bottom