Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Bado sijasema..Sema kitu mkuu
,ππππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado sijasema..Sema kitu mkuu
Ushauri.. Sio vizuri kabisa kwa binti wa kike kulewa kufikia hatua hiyo...Si mara zote. Sem moja kwa mwezi
Ni kama anatuambia sasa kafungua fremu, halafu ni mnywaji wa savana zikizidi sana tatu na siku alipopoteza pochi yake alikuwa amekunywa savana na kuchanganya na k - vant. Sasa anaona amepoteza heshima yake, kwa kutupiwa ID zake.Mimi kama mimi sijapata concept hapa... ila wanakuja
Kama hivyo sawa.. Annie X6 pole kipenzi, ujifunze kutokulewa sana siku nyingineNi kama anatuambia sasa kafungua fremu, halafu ni mnywaji wa savana zikizidi sana tatu na siku alipopoteza pochi yake alikuwa amekunywa savana na kuchanganya na k - vant. Sasa anaona amepoteza heshima yake, kwa kutupiwa ID zake.
Pombe haijawahi kumuacha mtu salama.Mwanenu jambo si jambo sielewi kabisa.
Mtaani kwangu kuna mambo nahisi hayajakaa sawa. Uchangamfu wa majirani sio huu ninaoujua, tunezoea kuchangamkiana katik salam na mambo mengine.
Kwa kawaida nikiwa kijiweni(golini) kukusanya maokoto lazima nipitie sehem na mabest zangu kupata savanna 2 hadi 3.
Siku moja nilikunywa kinywaji kwa kuchanganya nilipoteza au niite kuusahau mkoba wangu. Waliookota wakachukua vyao wakautupia dustbin kwa kweli niliumia sana. Ukiwa na ID mbalimbali ukatupwa.
Siku hiyo nipoteza heshima kwa kweli, je hii inatosha kuona utofauti na wananchi wenzangu.
Ninahisi wabaya wangu ni mashosti. Hiki ni kama kitendawili
Ulikunywa kwa kuchanganya pombe...Apo pia unataka umlaumu mtuMwanenu jambo si jambo sielewi kabisa.
Mtaani kwangu kuna mambo nahisi hayajakaa sawa. Uchangamfu wa majirani sio huu ninaoujua, tunezoea kuchangamkiana katik salam na mambo mengine.
Kwa kawaida nikiwa kijiweni(golini) kukusanya maokoto lazima nipitie sehem na mabest zangu kupata savanna 2 hadi 3.
Siku moja nilikunywa kinywaji kwa kuchanganya nilipoteza au niite kuusahau mkoba wangu. Waliookota wakachukua vyao wakautupia dustbin kwa kweli niliumia sana. Ukiwa na ID mbalimbali ukatupwa.
Siku hiyo nipoteza heshima kwa kweli, je hii inatosha kuona utofauti na wananchi wenzangu.
Ninahisi wabaya wangu ni mashosti. Hiki ni kama kitendawili
Amekueleza ukweli, tatizo mnaishi kwenye fantasies na korea dramas. This is the reality shtuka.Unakoenda ni mbali sana
Ubinadamu kazi...