Kuna jambo silielewi uchaguzi huu wa CHADEMA

Kuna jambo silielewi uchaguzi huu wa CHADEMA

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Haki ya Kugombea imetolewa kwa Kila aliye na nia. Nafasi ya uenyekiti kwa mfano, Kila aliyeweka nia amepewa fomu na atagombea kutafuta kura za wanachama.

Sasa hili shinikizo la Mbowe jitoe, Mbowe hutoshi, Mbowe hutakiwi, Mbowe muachie Fulani LINATOKA WAPI?

Kama wote wamegombea, na maamuzi ni kura shida Iko wapi? Kwani Mbowe Hana haki ya kugombea kwa mujibu wa Katiba ya Chama?
 
Tumeshasema kwa wapambe wa Wagombea kuhakikisha wanashawishi Wajumbe ili wawachague Wagombea wao, sasa sijui kama jambo hili wanalifanya.

Kumshinda usiyemtaka ni kushawishi wajumbe kumkataa, hii ndio njia ya haki na salama
 
Back
Top Bottom