ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Dah kweli watu hawataki ujinga Kumbe ndo maana naona kimya Sana humu mjengoni Kumbe Kuna watu hawataki kabisa kutusikia wanaona tunawarusha na kuwakata steam.sasa wapeni taarifa sisi haturudi nyuma kamwe na Ni marufuku kukata tamaa.