Kuna jirani yetu anauza kuku wa kisasa Tsh. 5000. Ni kwamba kuku wameshuka bei kiasi hiki au ni vibudu?

Kuna jirani yetu anauza kuku wa kisasa Tsh. 5000. Ni kwamba kuku wameshuka bei kiasi hiki au ni vibudu?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kwenu wauzaji wa kuku hasa maeneo ya mbezi beach.

Kuna jirani anasambaza upendo kuku wakubwa wana barafu Tsh. 5000

Binafsi naogopaga sana hizi zenye barafu swali langu kwenu kuku wapendwa bei imeshuka hivi?

Anasema ana kuku wengi kachinja Jana na leo anachukua oda wanaotaka.

Loh kama bei ni hivi watakula wengi sana hizi kuku.

Na wasiwasi tunalishwa vibuduu.
 
Kwenu wauzaji wa kuku hasa maeneo ya mbezi beach.

Kuna jirani anasambaza upendo kuku wakubwa wana barafu Tsh. 5000

Binafsi naogopaga sana hizi zenye barafu swali langu kwenu kuku wapendwa bei imeshuka hivi?

Anasema ana kuku wengi kachinja Jana na leo anachukua oda wanaotaka.

Loh kama bei ni hivi watakula wengi sana hizi kuku.

Na wasiwasi tunalishwa vibuduu.
Kuna namna
 
Kwenu wauzaji wa kuku hasa maeneo ya mbezi beach.

Kuna jirani anasambaza upendo kuku wakubwa wana barafu Tsh. 5000

Binafsi naogopaga sana hizi zenye barafu swali langu kwenu kuku wapendwa bei imeshuka hivi?

Anasema ana kuku wengi kachinja Jana na leo anachukua oda wanaotaka.

Loh kama bei ni hivi watakula wengi sana hizi kuku.

Na wasiwasi tunalishwa vibuduu.
Mmeuziwa vifaranga vya mbuni
 
**** nimfugaji utaelewa kuna mda kuku wameshatimiza muda wakuchinja nasoko huna inabid uforce kuwachinja ili wasiendelee kukutia hasara yakuwalisha
Ooooh

Ninekuelewa mkuu maana nimewaza kuwazika sikuhizi vijana wanakumbwa na magonjwa mengi sana na ukumsikiliza dk wetu pale muhim anavyosisitiza USHAURI WA chakula mpaka naogopa
 
Nduguu nimeogopa HATA kuziangalia

Akili inanijia

Za WIZI

2..kibuduuuuu

3
4

5
EMBU share ideas maana kesho anarudid Tena na kabeba oda za KUKU kama 20
Kama una wasiwasi nazo husinunue mkuu. Hiyo bei inatia mashaka inawezekana ikawa kama mdau alivyosema 👇

Ina wezekana ni WA mayai ila wame goma kutaga, au broila wame fika mda wa kuuzwa ila kakosa soko.

broila waki fika mda wa kuuzwa, uka endelea kuwa lisha ni hasara.
 
Ukila kuku wa kizungu legelege na jongoo nalo linakuwa legelege
Takbirrr YAAN sitaki hata
Ukila kuku wa kizungu legelege na jongoo nalo linakuwa legelege
Aisee kumbe haya madawa yanaongezeka kuongeza NGUVU hili jambo linachangia eeh mmh kaziipo KUNA shule nulienda nkakutaa watotoo wanenenee wengine wanaume Wana kama maziwa aisee nahisi kaziwanayo

Ngoja NINASHAURI apeleke mashuleni atauza nyingi
 
Kwenu wauzaji wa kuku hasa maeneo ya mbezi beach.

Kuna jirani anasambaza upendo kuku wakubwa wana barafu Tsh. 5000

Binafsi naogopaga sana hizi zenye barafu swali langu kwenu kuku wapendwa bei imeshuka hivi?

Anasema ana kuku wengi kachinja Jana na leo anachukua oda wanaotaka.

Loh kama bei ni hivi watakula wengi sana hizi kuku.

Na wasiwasi tunalishwa vibuduu.
Kuna matatu:
1- Kuku wamefikia muda wa kutoka na muuzaji kakosa wateja hivyo kaamua kuchinja kuwatoa( apunguze gharama ya kulisha).
2- Kuku wameugua bandani kwake...hivyo ili asipate hasara ya kutupa kuku wote kaamua kuchinja na kuuza( hili nbkosa kwa walaji...kuna magonjwa yaweza kuhama toka kwa ndege hadi kwa binadamu).
3-Kuku n vibudu...
4-Kuku kawapata kwa njia zisizo halali( wizi)/ ama ameenda kumfirisi mtu hivyo anataka arudishe pesa yake.
Nb: Serikali yetu ingekuw makini hata nyama za kuku zingekua zinakaguliwa kabla ya ya bidhaa kuingia sokoni, wafugaji na wataalamu wa mifugo wangeunda utaratibu. Wataalamu kutembelea mabanda na kupima sample then kutoa kibari cha uuzaji wa kuku ama aliechinjwa/mzima.
 
Mkuu za wizi ni ngumu kuuza nyumba kwa nyumba bali huwa wanauziwa wale wakaanga/choma nyama za kuku na wana watu hao.

Huyo ni mfugaji au mfanyakazi kaagizwa na boss wake kwa BROILER wa mwezi kumuuza 5000 maana yake anarudisha gharama kuliko kukaa nao huku hana wateja.

Jingine wamekumbwa na ugonjwa wanakufa kwa kasi kajiongeza kuwaletea. Ni mtu mwema huyo nunua tu
 
Kuna matatu:
1- Kuku wamefikia muda wa kutoka na muuzaji kakosa wateja hivyo kaamua kuchinja kuwatoa( apunguze gharama ya kulisha).
2- Kuku wameugua bandani kwake...hivyo ili asipate hasara ya kutupa kuku wote kaamua kuchinja na kuuza( hili nbkosa kwa walaji...kuna magonjwa yaweza kuhama toka kwa ndege hadi kwa binadamu).
3-Kuku n vibudu...
4-Kuku kawapata kwa njia zisizo halali( wizi)/ ama ameenda kumfirisi mtu hivyo anataka arudishe pesa yake.
Nb: Serikali yetu ingekuw makini hata nyama za kuku zingekua zinakaguliwa kabla ya ya bidhaa kuingia sokoni, wafugaji na wataalamu wa mifugo wangeunda utaratibu. Wataalamu kutembelea mabanda na kupima sample then kutoa kibari cha uuzaji wa kuku ama aliechinjwa/mzima.
Kabisa mkuu YAAN haya magonjwa mengi wanakufa watyu sababu ya Msosi
 
Back
Top Bottom