Uko sahihi kabisa.Kuna matatu:
1- Kuku wamefikia muda wa kutoka na muuzaji kakosa wateja hivyo kaamua kuchinja kuwatoa( apunguze gharama ya kulisha).
2- Kuku wameugua bandani kwake...hivyo ili asipate hasara ya kutupa kuku wote kaamua kuchinja na kuuza( hili nbkosa kwa walaji...kuna magonjwa yaweza kuhama toka kwa ndege hadi kwa binadamu).
3-Kuku n vibudu...
4-Kuku kawapata kwa njia zisizo halali( wizi)/ ama ameenda kumfirisi mtu hivyo anataka arudishe pesa yake.
Nb: Serikali yetu ingekuw makini hata nyama za kuku zingekua zinakaguliwa kabla ya ya bidhaa kuingia sokoni, wafugaji na wataalamu wa mifugo wangeunda utaratibu. Wataalamu kutembelea mabanda na kupima sample then kutoa kibari cha uuzaji wa kuku ama aliechinjwa/mzima.
Itoshe tu kusema lolote linawezekana.Ina wezekana ni WA mayai ila wame goma kutaga, au broila wame fika mda wa kuuzwa ila kakosa soko.
broila waki fika mda wa kuuzwa, uka endelea kuwa lisha ni hasara.
Bila shaka huyo ni mfugaji anasambaza upendo ili apunguze hasara kwake, kuwa na amani ila lolote linawezekana pia.Kwenu wauzaji wa kuku hasa maeneo ya mbezi beach.
Kuna jirani anasambaza upendo kuku wakubwa wana barafu Tsh. 5000
Binafsi naogopaga sana hizi zenye barafu swali langu kwenu kuku wapendwa bei imeshuka hivi?
Anasema ana kuku wengi kachinja Jana na leo anachukua oda wanaotaka.
Loh kama bei ni hivi watakula wengi sana hizi kuku.
Na wasiwasi tunalishwa vibuduu.
Hapana aseee... Kuna jombaa huku ameshalisha sana watu mbwa Kwa kujifanya anauza mbuzi majumbani .... Siku Moja akakutwa bwana mtoni anaosha mbwa tatu na mbuzi mmoja anawachanganyia ....asee alipigika ...lakini alifungwa miezi 6 nadhani..Huenda anafanya promotion,sema Wabongo bana kila jambo watahisi kuna namna.Ingawa pia inasemwa wasiwasi ni akili.
Ugumu wa maisha unachaingia watu kupenda vya bei ndogo.Mkuu m sijanunua nawaza majirani tyu walivyozifakamia kwa hii bei mmh
Mkuu nunua iphone mkononi useme hiviHuenda anafanya promotion,sema Wabongo bana kila jambo watahisi kuna namna.Ingawa pia inasemwa wasiwasi ni akili.
Njoo geto ule mi nnao kuku wa kienyeji unachinja mwenyewe.Kwenu wauzaji wa kuku hasa maeneo ya mbezi beach.
Kuna jirani anasambaza upendo kuku wakubwa wana barafu Tsh. 5000
Binafsi naogopaga sana hizi zenye barafu swali langu kwenu kuku wapendwa bei imeshuka hivi?
Anasema ana kuku wengi kachinja Jana na leo anachukua oda wanaotaka.
Loh kama bei ni hivi watakula wengi sana hizi kuku.
Na wasiwasi tunalishwa vibuduu.
Acha uoga njoo uchukue mwenyewe mkuu feni ipo itakupepea.Getoo Tena mkuu loh ntamtumia hgal aje ntachinja mwenyewe