X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Huwezi kutembea 10km kwa saaUnazijua 43km au unaongea tu. Binadam hutembea 10 km kwa saa. Ili uarchieve hizo km zako ina maana utembeemasaa 4.5 hadi 5 uliongea kutoka mbezi hadi ubungo hazifiki hata 20km
Labda akiwa anakimbia ndiyo huyo binadamu aweze kutembea 10km kwa saa.Unazijua 43km au unaongea tu. Binadam hutembea 10 km kwa saa. Ili uarchieve hizo km zako ina maana utembeemasaa 4.5 hadi 5 uliongea kutoka mbezi hadi ubungo hazifiki hata 20km
Mimi mwenyewe nimeshangaa sana labda anamaanisha kukimbiaHuwezi kutembea 10km kwa saa
Kufanya mazoezi ya kutembea ni umasikini?Umaskini mbaya sana
Jamaa sidhani kama anatembea kwa vile hana acces na usafiri hapana anafanya ivo kwa ajili ya mazoezi tu unaweza kuta Yard kwake kumepark amarok, Navara na Ford ranger ila yet bado anatembeaUmaskini mbaya sana
Noma sanaHiyo yako cha mtoto mtwara mikindani mpaka tanga marmba bila lifti hata ya punda rondo tu rekodi yake haijavunjwa !
Usipime!Noma sana