Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel huwa achokozi yeye anachokozwa tu ila akijibu huwa Aslamo AleykomIsrael wakijaribu kwa hao watu patachimbika waislam ni watu wenye umoja sana hawatokubali viongozi wao wauwawe
AiseeHuyu kipindi cha msiba wa Ebrahim Raisi alionekana akijiapiza kwa miungu yote ya kiajemi. In three months kapelekwa kule kule.
Anyway, Netanyahu akiwa Washington last week alishauriwa "it has taken too long; end it now". Yuko fasta kweli kutekeleza ushauri ule.
huwezi kupata zile bikra 72 bila kutolewa rohoHabari za kuuana unazipenda sana.
Umepata faida gani mpaka sasa?
Ndiyo kazi imeanza sasa. ISRAEL ni zaidi ya unavyoionaIsrael wakijaribu kwa hao watu patachimbika waislam ni watu wenye umoja sana hawatokubali viongozi wao wauwawe