Kuna kesi ya udhalilishaji kama wale walioonekana kwenye video ya kukamata makahaba watapata mwanasheria mzuri

Kuna kesi ya udhalilishaji kama wale walioonekana kwenye video ya kukamata makahaba watapata mwanasheria mzuri

Smt016

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2016
Posts
3,012
Reaction score
4,300
Nimeona clip, mkuu wa wilaya wa Ubungo anavyoangaika na vitu vya ovyo utafikiri wilaya yake ya Ubungo wananchi wake wanatatuliwa na matatizo lukuki zinazowakabili. Niliwahi kwenda sehemu moja inaitwa Kisopwa kupitia barabara ya Kifuru kwenda hadi Vibula aisee barabara ni mbovu sana unaweza sema upo mkoani vijijini huko na kwa asilimia kubwa wilaya ya Ubungo ina barabara mbovu mno, swala la maji na afya bado ni changamoto.

Tuachane na hilo, twende kwenye hii mbinu anayotumia huyu mkuu wa wilaya ya Ubungo.

Kufanya ukaguzi kwenye vyumba wanavyolala watu kwa lengo la kuangalia kama umelala na mwanamke au kama kuna mwanamke yupo ndani sio sawa kabisa. Sio kosa kufanya inspection kwenye lodge ila unafanya inspection kwa lengo lipi? Na kithibiti ni kipi?

Nakumbuka niliwahi kulala lodge moja Njombe ila usiku wa saa nane waliingia askari polisi kwenye hiyo lodge kwaajili ya kufanya ukaguzi, ule ukaguzi ulikuwa ni sahihi kwavile unaulizwa maswali ya msingi kisha unapekuliwa kwenye begi lako na chumbani unapolala kama kuna kitu unacho ambacho ni kosa kisheria kuwa nacho/nayo hiko kinaitwa kithibiti.

Sasa huyu mkuu wa wilaya na mapolisi wao wanafanya vitu kitoto sana na anamdharirisha hadi aliyemteua.
Unaingia lodge kisha unalazimisha watu waliopo ndani ya chumba atoke huku analazimishwa aiangalie camera, huo si ni udhalilishaji? Hakuna uwakika kama huyo mtu ni mmoja wa muhusika au lah lakini analazimishwa aonekane kwenye camera.

Ile ni lodge na huenda kuna watu wengine wanatoka mikoani kwenda kupumzika hapo, au kuna watu wengine wanaenda na wapenzi wao hspo kwa faragha. Pengine wao wamewakariri sura au majina ya wanawake wanaofanya hiyo biashara hapo lakini mtu anayetumiwa kuwa ni mteja ana uwezo wa kukataa na kusema huyo ni mpenzi wake na hajaja kwa mauziano.

Mwisho hao wadada waliokamatwa wakiwa vyumbani kithibiti chao kuwa ni wanauza miili ni kipi?

Kuna fidia nzuri sana hapo kwa kufungua kesi ya udhalilishaji kama mmoja wa hao watu waliokamatwa wakiwa vyumbani endapo atapata mwanasheria mzuri.


Pia soma:
 
Amwuulize Chalamila aliyeimfluence mauaji kwa polisi kuua raia pale Sinza kwa kisingizio cha kusaka machangudoa.

Serikali iwapatie fursa watu wake ili wasijiingize kwenye kazi za ngono
 
hiyo ya malaya kukaa Road ndiyo
Siyo,ila kama watu wa lodge,gesti
faragha hiyo ni kuingilia uhuru wa watu ..
Siku hizi malaya wamejiongeza
wameji upgrade,wako kwenye mitandao huko ...
zamani ile ohio Street kulikuwa kuna jamaa malaya kibaoo
Ukija kinondoni Tunisia Road napo
palikuwa na malaya wengi,ila leo hii hawapo

ova
 
Hujui sheria muandishi, mimi pia siungi mkono njia iliyotumika. Ila thread yako inaonyesha hujui sheria. Itikadi kubwa sana imetumika kuwashika jamaa wale.
Naa kwa akili yako unadhani yule mkuu wa wilaya ni mjinga. Sio mjinga yule.
Na kwa akili zako. Vyumbani walikuwepo wale tu. Tena sehemu kama PR?
Kwa akili zako, wakamatwe wanaume watano na wanawake 25. Kwa akili yako. Embu fatilia baasi habari vzuri kisha uandike usiwe kama kijana wa twitter usiokote maneno. Huku ni jf come with prepositions ndugu.
 
Hujui sheria muandishi, mimi pia siungi mkono njia iliyotumika. Ila thread yako inaonyesha hujui sheria. Itikadi kubwa sana imetumika kuwashika jamaa wale.
Naa kwa akili yako unadhani yule mkuu wa wilaya ni mjinga. Sio mjinga yule.
Na kwa akili zako. Vyumbani walikuwepo wale tu. Tena sehemu kama PR?
Kwa akili zako, wakamatwe wanaume watano na wanawake 25. Kwa akili yako. Embu fatilia baasi habari vzuri kisha uandike usiwe kama kijana wa twitter usiokote maneno. Huku ni jf come with prepositions ndugu.
Umeshindwaje kufafanua kuhusu sheria?
Itikadi kubwa ipi?
Hoja yako ya idadi ya wanaume vs idadi ya wanawake ni ipi?
 
Nimeona clip, mkuu wa wilaya wa Ubungo anavyoangaika na vitu vya ovyo utafikiri wilaya yake ya Ubungo wananchi wake wanatatuliwa na matatizo lukuki zinazowakabili. Niliwahi kwenda sehemu moja inaitwa Kisopwa kupitia barabara ya Kifuru kwenda hadi Vibula aisee barabara ni mbovu sana unaweza sema upo mkoani vijijini huko na kwa asilimia kubwa wilaya ya Ubungo ina barabara mbovu mno, swala la maji na afya bado ni changamoto.

Tuachane na hilo, twende kwenye hii mbinu anayotumia huyu mkuu wa wilaya ya Ubungo.

Kufanya ukaguzi kwenye vyumba wanavyolala watu kwa lengo la kuangalia kama umelala na mwanamke au kama kuna mwanamke yupo ndani sio sawa kabisa. Sio kosa kufanya inspection kwenye lodge ila unafanya inspection kwa lengo lipi? Na kithibiti ni kipi?

Nakumbuka niliwahi kulala lodge moja Njombe ila usiku wa saa nane waliingia askari polisi kwenye hiyo lodge kwaajili ya kufanya ukaguzi, ule ukaguzi ulikuwa ni sahihi kwavile unaulizwa maswali ya msingi kisha unapekuliwa kwenye begi lako na chumbani unapolala kama kuna kitu unacho ambacho ni kosa kisheria kuwa nacho/nayo hiko kinaitwa kithibiti.

Sasa huyu mkuu wa wilaya na mapolisi wao wanafanya vitu kitoto sana na anamdharirisha hadi aliyemteua.
Unaingia lodge kisha unalazimisha watu waliopo ndani ya chumba atoke huku analazimishwa aiangalie camera, huo si ni udhalilishaji? Hakuna uwakika kama huyo mtu ni mmoja wa muhusika au lah lakini analazimishwa aonekane kwenye camera.

Ile ni lodge na huenda kuna watu wengine wanatoka mikoani kwenda kupumzika hapo, au kuna watu wengine wanaenda na wapenzi wao hspo kwa faragha. Pengine wao wamewakariri sura au majina ya wanawake wanaofanya hiyo biashara hapo lakini mtu anayetumiwa kuwa ni mteja ana uwezo wa kukataa na kusema huyo ni mpenzi wake na hajaja kwa mauziano.

Mwisho hao wadada waliokamatwa wakiwa vyumbani kithibiti chao kuwa ni wanauza miili ni kipi?

Kuna fidia nzuri sana hapo kwa kufungua kesi ya udhalilishaji kama mmoja wa hao watu waliokamatwa wakiwa vyumbani endapo atapata mwanasheria mzuri.


Pia soma:
Dah! Umaskini wetu huu jamani unatuponza. Nanukuu: "Kuna fidia nzuri sana hapo kwa kufungua kesi ya udhalilishaji kama mmoja wa hao watu waliokamatwa wakiwa vyumbani endapo atapata mwanasheria mzuri."
1. Kufungua kesi ni gharama, 2. Kumkodi mwanasheria ni gharama,3.Muda wa kuhudhuria kesi mahakamani nayo pia ni gharama.
Ni kutokana na umaskini wetu tunakuwaga wanyonge; wengi wa wahanga wa udhalilishaji huo huishia kukaa kimya au kupotezea tuu.
 
Hujui sheria muandishi, mimi pia siungi mkono njia iliyotumika. Ila thread yako inaonyesha hujui sheria. Itikadi kubwa sana imetumika kuwashika jamaa wale.
Naa kwa akili yako unadhani yule mkuu wa wilaya ni mjinga. Sio mjinga yule.
Na kwa akili zako. Vyumbani walikuwepo wale tu. Tena sehemu kama PR?
Kwa akili zako, wakamatwe wanaume watano na wanawake 25. Kwa akili yako. Embu fatilia baasi habari vzuri kisha uandike usiwe kama kijana wa twitter usiokote maneno. Huku ni jf come with prepositions ndugu.
Haya kiko wapi? Niliyosema ndiyo yamedhihirika sasa, ukajifanya unajua sheria haya nendeni mkawafunge hao watu.
 

Attachments

  • IMG_20240620_081416.jpg
    IMG_20240620_081416.jpg
    459 KB · Views: 5
  • IMG_20240620_081344.jpg
    IMG_20240620_081344.jpg
    445.3 KB · Views: 4
Nimeona clip, mkuu wa wilaya wa Ubungo anavyoangaika na vitu vya ovyo utafikiri wilaya yake ya Ubungo wananchi wake wanatatuliwa na matatizo lukuki zinazowakabili. Niliwahi kwenda sehemu moja inaitwa Kisopwa kupitia barabara ya Kifuru kwenda hadi Vibula aisee barabara ni mbovu sana unaweza sema upo mkoani vijijini huko na kwa asilimia kubwa wilaya ya Ubungo ina barabara mbovu mno, swala la maji na afya bado ni changamoto.

Tuachane na hilo, twende kwenye hii mbinu anayotumia huyu mkuu wa wilaya ya Ubungo.

Kufanya ukaguzi kwenye vyumba wanavyolala watu kwa lengo la kuangalia kama umelala na mwanamke au kama kuna mwanamke yupo ndani sio sawa kabisa. Sio kosa kufanya inspection kwenye lodge ila unafanya inspection kwa lengo lipi? Na kithibiti ni kipi?

Nakumbuka niliwahi kulala lodge moja Njombe ila usiku wa saa nane waliingia askari polisi kwenye hiyo lodge kwaajili ya kufanya ukaguzi, ule ukaguzi ulikuwa ni sahihi kwavile unaulizwa maswali ya msingi kisha unapekuliwa kwenye begi lako na chumbani unapolala kama kuna kitu unacho ambacho ni kosa kisheria kuwa nacho/nayo hiko kinaitwa kithibiti.

Sasa huyu mkuu wa wilaya na mapolisi wao wanafanya vitu kitoto sana na anamdharirisha hadi aliyemteua.
Unaingia lodge kisha unalazimisha watu waliopo ndani ya chumba atoke huku analazimishwa aiangalie camera, huo si ni udhalilishaji? Hakuna uwakika kama huyo mtu ni mmoja wa muhusika au lah lakini analazimishwa aonekane kwenye camera.

Ile ni lodge na huenda kuna watu wengine wanatoka mikoani kwenda kupumzika hapo, au kuna watu wengine wanaenda na wapenzi wao hspo kwa faragha. Pengine wao wamewakariri sura au majina ya wanawake wanaofanya hiyo biashara hapo lakini mtu anayetumiwa kuwa ni mteja ana uwezo wa kukataa na kusema huyo ni mpenzi wake na hajaja kwa mauziano.

Mwisho hao wadada waliokamatwa wakiwa vyumbani kithibiti chao kuwa ni wanauza miili ni kipi?

Kuna fidia nzuri sana hapo kwa kufungua kesi ya udhalilishaji kama mmoja wa hao watu waliokamatwa wakiwa vyumbani endapo atapata mwanasheria mzuri.


Pia soma:
Aisee hii nchi ina matatizo unamkamata mtu yupo Guest hii hapana
Hao wadada sometimes wanasaidia kupunguza masuala ya ubakaji na ulawiti. Tena wako Guest wamelipia wewe unawafuata
Haya wale wamama wa haki za binadamu waliomkandia makonda mbona wapo kimya kwa huu uzalilishaji
 
Dah! Umaskini wetu huu jamani unatuponza. Nanukuu: "Kuna fidia nzuri sana hapo kwa kufungua kesi ya udhalilishaji kama mmoja wa hao watu waliokamatwa wakiwa vyumbani endapo atapata mwanasheria mzuri."
1. Kufungua kesi ni gharama, 2. Kumkodi mwanasheria ni gharama,3.Muda wa kuhudhuria kesi mahakamani nayo pia ni gharama.
Ni kutokana na umaskini wetu tunakuwaga wanyonge; wengi wa wahanga wa udhalilishaji huo huishia kukaa kimya au kupotezea tuu.
Embu fatilia vizuri, kuna watu wana pesa zao ila wanaposhinda kesi hufungua kesi dhidi ya aliyemtuhumu. Fidia ni sehemu za taratibu za kimahakama na aijawekwa kwa ajili ya watu masikini.
 

Attachments

  • IMG_20240620_081344.jpg
    IMG_20240620_081344.jpg
    445.3 KB · Views: 5
Hujui sheria muandishi, mimi pia siungi mkono njia iliyotumika. Ila thread yako inaonyesha hujui sheria. Itikadi kubwa sana imetumika kuwashika jamaa wale.
Naa kwa akili yako unadhani yule mkuu wa wilaya ni mjinga. Sio mjinga yule.
Na kwa akili zako. Vyumbani walikuwepo wale tu. Tena sehemu kama PR?
Kwa akili zako, wakamatwe wanaume watano na wanawake 25. Kwa akili yako. Embu fatilia baasi habari vzuri kisha uandike usiwe kama kijana wa twitter usiokote maneno. Huku ni jf come with prepositions ndugu.
Mteuzi tu anaweza kuwa mjinga sembuse yeye mkuu wa wilaya? Tena hawa wa siku sio wajinga tu Bali ni wapumbavu haswaa.
 
Inawezekana wakazi wa wilaya ya Ubungo wanaishi maisha ya kishua sana kama wapo marekani vile hawana changamoto ya barabara, maji, umeme, huduma ya afya, n.k ndio maana mkuu wa wilaya ameamua kupambana na vitu visivyokuwa vya msingi baada ya kumaliza mambo yote ya msingi wilayani kwake.
 
hao malaya wanao sambaza virusi vya ukimwi kwa nguvu kazi.
Tena wanafaa wachomwe.
 
Back
Top Bottom