Kuna kesi ya udhalilishaji kama wale walioonekana kwenye video ya kukamata makahaba watapata mwanasheria mzuri

Kuna kesi ya udhalilishaji kama wale walioonekana kwenye video ya kukamata makahaba watapata mwanasheria mzuri

Haya kiko wapi? Niliyosema ndiyo yamedhihirika sasa, ukajifanya unajua sheria haya nendeni mkawafunge hao watu.
Rudia nilichoandika. Kesi inayofunguliwa ni ipi? Si udhalilishaji kutumia picha.
Kesi inafunguliwa tofauti. Na hamna atakayeshinda.
Kitu kingine hawa watu wangeenda mahakamani na si kufungwa.
Wako wapi waliokamatwa ubungo. Mbona wanaongelewa wa sinza tu.?
Hatushindani tunaelekezana. Mnataka kushindani na mimi tena. Msome tena mlichoandika.
 
Rudia nilichoandika. Kesi inayofunguliwa ni ipi? Si udhalilishaji kutumia picha.
Kesi inafunguliwa tofauti. Na hamna atakayeshinda.
Kitu kingine hawa watu wangeenda mahakamani na si kufungwa.
Wako wapi waliokamatwa ubungo. Mbona wanaongelewa wa sinza tu.?
Hatushindani tunaelekezana. Mnataka kushindani na mimi tena. Msome tena mlichoandika.

Kwani kwenye uzi wangu nimeongelea kitu gani kama sio udhalilishaji?
Kwenye uzi wangu nimeongelea wale walichukuliwa wakiwa lodge kwasababu hakutakuwa na uthibitisho mahakamani kuwa kweli wanafanya biashara ya kuuza miili ukajifanya kupinga kuwa sijui sheria. Haya kiko wapi?
20240620_153300.jpg
 
Kwani kwenye uzi wangu nimeongelea kitu gani kama sio udhalilishaji?
Kwenye uzi wangu nimeongelea wale walichukuliwa wakiwa lodge kwasababu hakutakuwa na uthibitisho mahakamani kuwa kweli wanafanya biashara ya kuuza miili ukajifanya kupinga kuwa sijui sheria. Haya kiko wapi? View attachment 3021461
Kesi iliyofunguliwa ni
1. Kashfa ya kuitwa dada poa
2. Kifungo cha uongo.

Hamna kesi ya udhalilishaji hapo. Na ndicho nilichokwambia. Wewe uliongelea. Udhalilishaji wa kuonyeshwa kwenye simu yako.

Something else. Tulia njoo na preposition tunamjua madereka he is after fame. Sikupingi juu ya hao si fair nipo na wewe. Ila njoo na vitu safi. ila napinga unachounga na napinga fikra zako.
Serious unaniletea madereka. Anayetaka hao watu wapate 1ml each na wana force imprisonment is he serious.
 
Something else. Tulia njoo na preposition tunamjua madereka he is after fame. Sikupingi juu ya hao si fair nipo na wewe. Ila njoo na vitu safi. ila napinga unachounga na napinga fikra zako.
Serious unaniletea madereka. Anayetaka hao watu wapate 1ml each na wana force imprisonment is he serious.

Kama fikra zangu ni za uongo basi tungeshuhudia hao wahusika wakahukumiwa mahakamani kwa kutumia vifungu vya sheria na uthibitisho uliopatikana.

Nanukuu ulivyoni attack

"Ila thread yako inaonyesha hujui sheria. Itikadi kubwa sana imetumika kuwashika jamaa wale.
Naa kwa akili yako unadhani yule mkuu wa wilaya ni mjinga. Sio mjinga yule.
Na kwa akili zako. Vyumbani walikuwepo wale tu. Tena sehemu kama PR?

Mwisho wa kunukuu.

Sasa swali kwako je kuna hukumu yeyote iliyotoka mahakamani ikionesha watuhimiwa wana hatia? Wewe si ulisema DC sio mjinga ana vithibiti vyote hadi PR
 
Kesi iliyofunguliwa ni
1. Kashfa ya kuitwa dada poa
2. Kifungo cha uongo.

Hamna kesi ya udhalilishaji hapo. Na ndicho nilichokwambia. Wewe uliongelea. Udhalilishaji wa kuonyeshwa kwenye simu yako.

Something else. Tulia njoo na preposition tunamjua madereka he is after fame. Sikupingi juu ya hao si fair nipo na wewe. Ila njoo na vitu safi. ila napinga unachounga na napinga fikra zako.
Serious unaniletea madereka. Anayetaka hao watu wapate 1ml each na wana force imprisonment is he serious.
Ila wewe jamaa una akili fupi sana, kuitwa dada poa na kufungua kesi maana yake ni kukataa kuwa yeye sii dada poa, hii inamaana kuwa maneno hayo si ya kweli au tuhuma si za kweli

Sasa kama tuhuma si zakweli na zilitolewa hadharani yaani kuna publication maana yake ni Defamation, Sasa sijui unachokataa ni nini,

Ukibisha hili weka taaluma yako ili tuelekezane zaidi, maana yawezekana wewe ni polisi.
 
Mk
Kwani kwenye uzi wangu nimeongelea kitu gani kama sio udhalilishaji?
Kwenye uzi wangu nimeongelea wale walichukuliwa wakiwa lodge kwasababu hakutakuwa na uthibitisho mahakamani kuwa kweli wanafanya biashara ya kuuza miili ukajifanya kupinga kuwa sijui sheria. Haya kiko wapi? View attachment 3021461
Mkuu wa wilaya alipe bilioni 36!! Ndoto ya mchana
Refer kesi za kina Makonda, Sabaya
 
Anayeweza kukomesha biashara ya kuuza na kununua NYUcHi ni Muumba mwenyewe vinginevyo kazi ipo
Na hakuna binadamu wa kuikomesha biashara hii.

Ukahaba uko enzi na enzi tangu enzi za Biblia ya kale. Tunakumbuka kahaba mashuhuri kwenye Biblia aitwaye Rahabu. Biashara yake ya ukahaba ilikujulikana mji mzima wa Yeriko. Na serikali kamwe haikuwahi kuingilia faragha yake na wateja wake. Mungu mwenyewe ndiye aliyekuja kumponya na kumuokoa kupitia kwa Yoshua na kumbe huyu mama (Rahabu) ni sehemu ya kizazi na ukoo wa Yesu Kristo 🙏!

Na tujue kabisa kuwa👇

Ngono au tendo la kujamiiana limeumbwa na Mungu mwenyewe na kuliwekea utaratibu wa kufanyika kuwa ni kati ya mwanaume na mwanamke waliotambuliwa na jamii kama mume na mke a.k.a wanaondoa.

Hata hivyo, likifanyika nje ya utaratibu huo alioweka Mungu(ndoa), si binadamu awaye yeyote anayeweza kutoa hukumu isipokuwa Mungu mwenyewe

Huyu DC kachemka big time.

After all hivi kuna binadamu yeyote (mwanamke au mwanaume) anayeweza kusema kuwa yeye katika eneo la "usafi wa kingono" ni msafi kwelikweli na mkamilifu? I don't think so.

Wote tunahitaji msaada wa Mungu kutukamilisha. Sasa badala ya kusaidiana na kuombeana, sisi tunahukimiana na kudhalilishana!!

Huyo huyo DC na ma - polisi wake walioenda kuwadhalilisha watu hao si ajabu ni wachafu kupindukia kwenye eneo la kingono.

Kuna wanaume wengine (miongoni ya walioenda kukamata) walikuwa wanatokwa na udenda kiasi cha kutamani taa zizime nao wapige mashine faster faster😂😂😂

Huyu DC na alioambatana nao, watoto wa mijini husema, " amelikoroga na hivyo ni lazima alinywe".

Kwenye Rais Samia Suluhu Hassan sidhani kama atamuacha salama. Hana kazi huyo, mpumbavu sana!
 
Kama fikra zangu ni za uongo basi tungeshuhudia hao wahusika wakahukumiwa mahakamani kwa kutumia vifungu vya sheria na uthibitisho uliopatikana.

Nanukuu ulivyoni attack

"Ila thread yako inaonyesha hujui sheria. Itikadi kubwa sana imetumika kuwashika jamaa wale.
Naa kwa akili yako unadhani yule mkuu wa wilaya ni mjinga. Sio mjinga yule.
Na kwa akili zako. Vyumbani walikuwepo wale tu. Tena sehemu kama PR?

Mwisho wa kunukuu.

Sasa swali kwako je kuna hukumu yeyote iliyotoka mahakamani ikionesha watuhimiwa wana hatia? Wewe si ulisema DC sio mjinga ana vithibiti vyote hadi PR
Narudi tena maana hujaelewa nachoongea, tubishane then, DC Sio mjinga, na hamna hukumu ya kulipa hiyo hela. Hakuna .
Come again
 
Ila wewe jamaa una akili fupi sana, kuitwa dada poa na kufungua kesi maana yake ni kukataa kuwa yeye sii dada poa, hii inamaana kuwa maneno hayo si ya kweli au tuhuma si za kweli

Sasa kama tuhuma si zakweli na zilitolewa hadharani yaani kuna publication maana yake ni Defamation, Sasa sijui unachokataa ni nini,

Ukibisha hili weka taaluma yako ili tuelekezane zaidi, maana yawezekana wewe ni polisi.
Sawa nina akili fupi. Tunatoka nje ya mada
 
Ujinga Mtupu.
Naona mashoga na makahaba na wanunuaji Malaya mnateteana hapa.

Haki za binadamu na mmonyoko wa maadili , Taifa linalaaniwa, linakua la ovyo, maadili hamna.

Ila kwakua hampendi kazi ila mnapenda Hela nyepesi za ngono, Sasa mnaona hiyo ni Fursa ya kupata Hela??.



Dar imegeuka kua Kuzimu ya ngono, Sinza, tabata Mbezi, Ubungo ,kote ni umalaya umalaya,,, mmefikia hatua Mnafanya biashara ya Kurekodi Video za maudhui ya ngono na kuziuza, mna mitandao ya ngono mpaka mnawahusisha na watoto.

Ngono ngono, kufirana, Si wanaume sio Wanawake, Kuuza mikundu imekua kawaida kwenu Wana Dar.




Hilo hamlion kwakua Mkuu wa WILAYA kagusa Masilahi yenu.

Acheni UPUUZI wenu.
 
Ujinga Mtupu.
Naona mashoga na makahaba na wanunuaji Malaya mnateteana hapa.

Haki za binadamu na mmonyoko wa maadili , Taifa linalaaniwa, linakua la ovyo, maadili hamna.

Ila kwakua hampendi kazi ila mnapenda Hela nyepesi za ngono, Sasa mnaona hiyo ni Fursa ya kupata Hela??.

Dar imegeuka kua Kuzimu ya ngono, Sinza, tabata Mbezi, Ubungo ,kote ni umalaya umalaya,,, mmefikia hatua Mnafanya biashara ya Kurekodi Video za maudhui ya ngono na kuziuza, mna mitandao ya ngono mpaka mnawahusisha na watoto.

Ngono ngono, kufirana, Si wanaume sio Wanawake, Kuuza mikundu imekua kawaida kwenu Wana Dar.

Hilo hamlion kwakua Mkuu wa WILAYA kagusa Masilahi yenu.

Acheni UPUUZI wenu.
Hamia Iran au Afghanistan
 
Ujinga Mtupu.
Naona mashoga na makahaba na wanunuaji Malaya mnateteana hapa.

Haki za binadamu na mmonyoko wa maadili , Taifa linalaaniwa, linakua la ovyo, maadili hamna.

Ila kwakua hampendi kazi ila mnapenda Hela nyepesi za ngono, Sasa mnaona hiyo ni Fursa ya kupata Hela??.



Dar imegeuka kua Kuzimu ya ngono, Sinza, tabata Mbezi, Ubungo ,kote ni umalaya umalaya,,, mmefikia hatua Mnafanya biashara ya Kurekodi Video za maudhui ya ngono na kuziuza, mna mitandao ya ngono mpaka mnawahusisha na watoto.

Ngono ngono, kufirana, Si wanaume sio Wanawake, Kuuza mikundu imekua kawaida kwenu Wana Dar
Wanaume na wanawake karibia asilimia 70 ni malaya Tanzania nzima sio Dar peke yake, hakuna mkoa unakosa wanawake wanaojiuza. Tena inawezekana hata dadako au kama ni mwanaume basi hata mke wako ikawa ni mmoja wa malaya vile vile hakuna msafi kwenye hili hata ujifanye nabii au mtume. Unaongelea habari ya kujifanya unapinga habari ya wanawake kujiuza lakini ajabu anakutana na mpenzi wako/ awala/ kimada/ mchepuko mnafanya mapenzi na mwisho wa siku unamtoa pesa, ni nini hiki?
Hao watu walikuwa wako zao vyumbani ingekuwa amekamata wale wanaokaa nje ni sawa au hata angekuwa anaelekeza nguvu kwa mashoga lakini hukuti kuna shoga kakamatwa.
 
Back
Top Bottom