DOKEZO Kuna kijiji wilaya ya Magu wageni wanaoingia kuishi kama wapangaji kulipa fedha za kiingilio kiasi cha shilingi 36,000 ndipo usajiliwe

DOKEZO Kuna kijiji wilaya ya Magu wageni wanaoingia kuishi kama wapangaji kulipa fedha za kiingilio kiasi cha shilingi 36,000 ndipo usajiliwe

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Habari JamiiForums.

Naomba msaada, mimi ni mgeni katika kijiji fulani, wilayani Magu Mkoa wa Mwanza. Katika kijiji hiki kuna utaratibu kwa wageni wanaoingia kuishi kama wapangaji kulipa fedha za kiingilio kiasi cha shilingi elfu 36 ndipo usajiliwe ama ujiunge kama mwananzengo na utambulike kama mkazi rasmi.

Tofauti na hapo, kuna vitisho kwamba unaweza usitambulike au kutishiwa kufukuzwa. Je hii ni sawa.

Tunaomba Mamlaka za Wilaya situsaidie katika hilo maana imekuwa kero na usumbufu sana. Je ni halali kisheria viongozi wa mtaa/kijiji kulipisha watu ili wajiunge kwenye kijiji au mtaa?

Kama ni halali, ile haki ya Mtanzania kuishi mahali popote iko wapi? na je Serikali inatambua huu utaratibu wa baadhi ya maeneo katika wilaya zetu, maana naamini si kila sehemu kuna huu utaratibu.

 

Attachments

  • IMG-20250209-WA0004.jpg
    IMG-20250209-WA0004.jpg
    183.7 KB · Views: 3
Utaratibu mzuri sana huo waulete na huku mbagala[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Mbona huo utaratibu uko karibia usukumani pote japo kiwango cha pesa hakilingani,kuna vijiji vingine ni 10000 vingine 5000,vingine 15000 kufatana.
Hawakulazimishi kutoa ila siku ukipata tatizo usitegemee msaada wowote kutoka kwenye jamii iliyo kuzunguka.
Uko sawa, kuna mwamba mmoja mahali fulani aligoma hadi kwenda kushitakibkisa kaambiwa kutoa kiingilio tsh 20000/= na alikuwa na duka lake,jamii ikasema haijamzuia kuishi ila ni utaratibu tu,baada ya kama miaka 2 akavamiwa na wezi akapiga mwano lakini hakuna mtubaliamka hata mmoja wezi wakamwibia kama 13mls na wakawajeruhi ,kesho yake police wanakuja hakuna hata mtu mmoja pale eneo la tukio baada ya watu kukusanywa na kuulizwa kwa nn hawajaenda kusaidia wakasema huyo sio mwenzetu
 
Katiba ya inchi inasemaje kuhusu hilo? Ni kijiji gani?
 
Habari JamiiForums.

Naomba msaada, mimi ni mgeni katika kijiji fulani, wilayani Magu Mkoa wa Mwanza. Katika kijiji hiki kuna utaratibu kwa wageni wanaoingia kuishi kama wapangaji kulipa fedha za kiingilio kiasi cha shilingi elfu 36 ndipo usajiliwe ama ujiunge kama mwananzengo na utambulike kama mkazi rasmi.

Tofauti na hapo, kuna vitisho kwamba unaweza usitambulike au kutishiwa kufukuzwa. Je hii ni sawa.

Tunaomba Mamlaka za Wilaya situsaidie katika hilo maana imekuwa kero na usumbufu sana. Je ni halali kisheria viongozi wa mtaa/kijiji kulipisha watu ili wajiunge kwenye kijiji au mtaa?

Kama ni halali, ile haki ya Mtanzania kuishi mahali popote iko wapi? na je Serikali inatambua huu utaratibu wa baadhi ya maeneo katika wilaya zetu, maana naamini si kila sehemu kuna huu utaratibu.

Mimi naona ni sawaa tuu,and kama umeona ni kubwaa sio lazima uishi kijiji hicho Mkuuu

La pili wewe kijiji umekikuta kina huduma za kijamii ,hujui wamefikaje hapooo ,unataka kuwa chawaa ufaidi tuu Hapana ,kabisaaa Mkuuu,Kuwa muungwanaa mkuu pesa hiyo ni kidogo lipa upate uwanachama wa kijiji chetuuu,

Na usihangaike bure kutafuta mamlaka hapa maana hutofanikiwa mkuuu,
 
Habari JamiiForums.

Naomba msaada, mimi ni mgeni katika kijiji fulani, wilayani Magu Mkoa wa Mwanza. Katika kijiji hiki kuna utaratibu kwa wageni wanaoingia kuishi kama wapangaji kulipa fedha za kiingilio kiasi cha shilingi elfu 36 ndipo usajiliwe ama ujiunge kama mwananzengo na utambulike kama mkazi rasmi.

Tofauti na hapo, kuna vitisho kwamba unaweza usitambulike au kutishiwa kufukuzwa. Je hii ni sawa.

Tunaomba Mamlaka za Wilaya situsaidie katika hilo maana imekuwa kero na usumbufu sana. Je ni halali kisheria viongozi wa mtaa/kijiji kulipisha watu ili wajiunge kwenye kijiji au mtaa?

Kama ni halali, ile haki ya Mtanzania kuishi mahali popote iko wapi? na je Serikali inatambua huu utaratibu wa baadhi ya maeneo katika wilaya zetu, maana naamini si kila sehemu kuna huu utaratibu.

Mkuu pole Kwa changamoto hiyo,ila Kwa uzoefu wangu wa kuishi Kanda ya ziwa hiyo pesa ni kiingilio Cha nzengo(umoja wa wakazi wa eneo husika kushirikiana Kwenye shida na raha).
Ulitakiwa kuhoji Kwa mwenyekiti au kuuliza wenyeji wakufahamishe zaidi.
 
Mbona huo utaratibu uko karibia usukumani pote japo kiwango cha pesa hakilingani,kuna vijiji vingine ni 10000 vingine 5000,vingine 15000 kufatana.
Hawakulazimishi kutoa ila siku ukipata tatizo usitegemee msaada wowote kutoka kwenye jamii iliyo kuzunguka.
Sahihi. Ni hiyari ila siku ukipatwa na jambo hapo ndipo utaona jamaa Wana roho mbayaa.
 
Habari JamiiForums.

Naomba msaada, mimi ni mgeni katika kijiji fulani, wilayani Magu Mkoa wa Mwanza. Katika kijiji hiki kuna utaratibu kwa wageni wanaoingia kuishi kama wapangaji kulipa fedha za kiingilio kiasi cha shilingi elfu 36 ndipo usajiliwe ama ujiunge kama mwananzengo na utambulike kama mkazi rasmi.

Tofauti na hapo, kuna vitisho kwamba unaweza usitambulike au kutishiwa kufukuzwa. Je hii ni sawa.

Tunaomba Mamlaka za Wilaya situsaidie katika hilo maana imekuwa kero na usumbufu sana. Je ni halali kisheria viongozi wa mtaa/kijiji kulipisha watu ili wajiunge kwenye kijiji au mtaa?

Kama ni halali, ile haki ya Mtanzania kuishi mahali popote iko wapi? na je Serikali inatambua huu utaratibu wa baadhi ya maeneo katika wilaya zetu, maana naamini si kila sehemu kuna huu utaratibu.

By law so lipa haina shida
 
Habari JamiiForums.

Naomba msaada, mimi ni mgeni katika kijiji fulani, wilayani Magu Mkoa wa Mwanza. Katika kijiji hiki kuna utaratibu kwa wageni wanaoingia kuishi kama wapangaji kulipa fedha za kiingilio kiasi cha shilingi elfu 36 ndipo usajiliwe ama ujiunge kama mwananzengo na utambulike kama mkazi rasmi.

Tofauti na hapo, kuna vitisho kwamba unaweza usitambulike au kutishiwa kufukuzwa. Je hii ni sawa.

Tunaomba Mamlaka za Wilaya situsaidie katika hilo maana imekuwa kero na usumbufu sana. Je ni halali kisheria viongozi wa mtaa/kijiji kulipisha watu ili wajiunge kwenye kijiji au mtaa?

Kama ni halali, ile haki ya Mtanzania kuishi mahali popote iko wapi? na je Serikali inatambua huu utaratibu wa baadhi ya maeneo katika wilaya zetu, maana naamini si kila sehemu kuna huu utaratibu.

Ni sawa ni utaratibu wao yafaa ulipe
 
Habari JamiiForums.

Naomba msaada, mimi ni mgeni katika kijiji fulani, wilayani Magu Mkoa wa Mwanza. Katika kijiji hiki kuna utaratibu kwa wageni wanaoingia kuishi kama wapangaji kulipa fedha za kiingilio kiasi cha shilingi elfu 36 ndipo usajiliwe ama ujiunge kama mwananzengo na utambulike kama mkazi rasmi.

Tofauti na hapo, kuna vitisho kwamba unaweza usitambulike au kutishiwa kufukuzwa. Je hii ni sawa.

Tunaomba Mamlaka za Wilaya situsaidie katika hilo maana imekuwa kero na usumbufu sana. Je ni halali kisheria viongozi wa mtaa/kijiji kulipisha watu ili wajiunge kwenye kijiji au mtaa?

Kama ni halali, ile haki ya Mtanzania kuishi mahali popote iko wapi? na je Serikali inatambua huu utaratibu wa baadhi ya maeneo katika wilaya zetu, maana naamini si kila sehemu kuna huu utaratibu.

Toa iyo hela tu 36k nayo ni ya kulalamikia serikali.
Ukute iyo ni ulinzi shirikishi.
Mademu na Bia mnatoa hela kiulaini ila apo mnataka serikali iwasaidie.
 
Back
Top Bottom