Kuna kila dalili Pep Gudiola kupanga matokeo ili kumrahisishia kijana wake Arteta kwenye mbio za ubingwa

Man united, Chelsea, Liverpool, Totenham ndio wanaoongoza kupanga matokeo Arsenal achukue ubingwa. Maana wote hao kawakung'uta.

unamlaumu vipi Guardiola ambaye hajakutana na mwenge usiovuka kijiji.
 
Kweli ujinga kipaji.
 
Whaaaaaaat?!!
 
Ndio maana alivyofungwa na manchester united ilimuuma sana kwasababu.


Yaani nilivyofika hapo Nika conclude.

Na nakubali asernal is not a football team ni maigizo tu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣how comes team bora inapigwa na Brighton, hakika mnateseka na uzuri wake hamjifichi
 
Basi kipara atakuwa farasi kweliii
 
Unaishabikia asernal bure. Haina kitu Chochote..wachambuzi wanaongea kila saa.... asernali haijakamilika ukitaka ubingwa isajili hii Januari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…