uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
- Thread starter
- #41
Nilisema manchester city atashinda kirahisi mechi ya FA dhidi ya Arsenal kwasababu pep anaitaka mechi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Assumption zako tuInaonekana Pep Gudiola amekinai ubingwa wa Epl kwasababu amechukua mara nne ndani ya miaka mitano
Pep kinachombakisha Manchester city ni aibu ya kuondoka bila kuchukua kombe la Uefa
Amebaki kwasababu hiyo na possibly anaweza asibebe
Sasa turudi kwenye uzi
Ukiangalia kiufundi mechi za ligi alizopoteza
Brentford L
Everton D
Aston villa D
Ukiangalia kiufundi hizi mechi gardiola alipanga matokeo nafasi ya kushinda alikuwa nayo lakini kimkakati aliwaambia wachezaji wa relax
Alizidharau hizi mechi unajua kwanini alizidharau mwanzoni ili kumtengenezea gap arteta na kumuondolea presha ya kukaa pale juu
Ukitaka kuamini hili angalia mechi inayofuata dhidi ya arsenal na manchester city kwenye FA
Manchester city atashinda kirahisi kwasababu Pep ataitaka mechi
Ila kwenye ligi arsenal ana mechi mbili dhidi ya manchester city
Probably manchester city anaweza kumwachia kijana wake achukue point nne
Meaan arsenal ashinde moja na sare
Pep Gudiola hawezi kujubali manchester united achukue ubingwa anaona bora amwachie kocha arteta
Ndio maana alivyofungwa na manchester united ilimuuma sana kwasababu malengo ya kuntengenezea arteta kulikuwa kunsingia mchanga
Epl iwachunguze hawa makocha if possible wafukuzwe uingereza kwa kujaribu kuchafua ligi
How possible on Earth timu mbovu iongoze ligi to date
No no haiwezekani huu ujinga tusiuvumilie tupige kelele