Kuna kila dalili Pep Gudiola kupanga matokeo ili kumrahisishia kijana wake Arteta kwenye mbio za ubingwa

Kuna kila dalili Pep Gudiola kupanga matokeo ili kumrahisishia kijana wake Arteta kwenye mbio za ubingwa

Nilisema manchester city atashinda kirahisi mechi ya FA dhidi ya Arsenal kwasababu pep anaitaka mechi
 
Inaonekana Pep Gudiola amekinai ubingwa wa Epl kwasababu amechukua mara nne ndani ya miaka mitano

Pep kinachombakisha Manchester city ni aibu ya kuondoka bila kuchukua kombe la Uefa
Amebaki kwasababu hiyo na possibly anaweza asibebe

Sasa turudi kwenye uzi

Ukiangalia kiufundi mechi za ligi alizopoteza

Brentford L
Everton D
Aston villa D

Ukiangalia kiufundi hizi mechi gardiola alipanga matokeo nafasi ya kushinda alikuwa nayo lakini kimkakati aliwaambia wachezaji wa relax

Alizidharau hizi mechi unajua kwanini alizidharau mwanzoni ili kumtengenezea gap arteta na kumuondolea presha ya kukaa pale juu

Ukitaka kuamini hili angalia mechi inayofuata dhidi ya arsenal na manchester city kwenye FA

Manchester city atashinda kirahisi kwasababu Pep ataitaka mechi

Ila kwenye ligi arsenal ana mechi mbili dhidi ya manchester city

Probably manchester city anaweza kumwachia kijana wake achukue point nne
Meaan arsenal ashinde moja na sare

Pep Gudiola hawezi kujubali manchester united achukue ubingwa anaona bora amwachie kocha arteta

Ndio maana alivyofungwa na manchester united ilimuuma sana kwasababu malengo ya kuntengenezea arteta kulikuwa kunsingia mchanga

Epl iwachunguze hawa makocha if possible wafukuzwe uingereza kwa kujaribu kuchafua ligi

How possible on Earth timu mbovu iongoze ligi to date

No no haiwezekani huu ujinga tusiuvumilie tupige kelele
Assumption zako tu
 
Kitakacho waponza arsenal ni mdomo tu,Bora watulie watufanyie surprise kama Brentford ,ila wakizidi kuropoka Kwa media ,watakutana na kitu kizito ,...
 
Jiulize kwanza Kwa Nini Man United haiongozi ligi? ITen anasaidiwa na Klopp?
Kunywa maji mengi moyo uelee.
20230122_213439.jpg
 
Back
Top Bottom