Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
Kwa magoli yale yakizee Uto mchukuenu tyuuNyie Yanga si mna pesa. Hata kesho mumchukue tyuuh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa magoli yale yakizee Uto mchukuenu tyuuNyie Yanga si mna pesa. Hata kesho mumchukue tyuuh.
Hili nalo neno, je wakimuongezea mkataba kimya kimya na dau kupanda zaidi ya hilo je? Usajili ni mahesabu ya pesaMpira ni pesa ndo ukasajili mchezaji aliyebakiza miezi miwili kwenye mkataba kwa $200K?[emoji23]
Ela atoe mooo,thubutuuuTatizo Simba wanataka wamchukue Manzoki free kitu ambacho hakiwezekani, mtu ni top score na kabeba tuzo zaidi ya 4 msimu huu.
Tukubali kutoa hela wanayotaka jamaa mambo yasiwe mengi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa magoli yale yakizee Uto mchukuenu tyuu
Kwaiyo umeambiwa pre contract inamzuia mchezaji kusajiliwa na timu nyingine ndo unavyojidanganya? Anasaini pre contract na anapata timu nyingine yenye dau kubwa mnarudishiwa pesa yenu anasepa kwingine, ule sio mkataba rasmi ile kitu ni Kama kishika uchumba ambacho asilimia kubwa anayekuwa anajua Kama kipo au akipo ni mchezaji na timu inayomtaka lakini klabu inayommiliki inakuwa aijui chochote ndo maana simba walimsainisha pre contract bila mawasiliano na klabu yake inayommiliki matokeo yake wameambiwa dau lake wakakwamia apo, na awana cha kumfanya zaidi ya kurudisha pesa yao waliyompa na vipers itamuuza kwenye timu itakayofika bei na si vinginevyoKwani moses phiri tulimpataje? Walipokuja kucheza na utoh kwenye tamasha lao tukampa pre contract
Zama za mchezaji kupenda timu hazipo pesa kwanza ingekua hivyo Samatta angekua SimbaNdio Simba Ina Hela lakini sio za kuharibu...
Dogo mwenyewe anaipenda simba ngoja mkataba uishe aje free
🤣🤣🤣🤣🤣mmeanza kumrushia mawe tena mlivyosikia mnapigwa na kitu kizito kichwani🤣🤣🤣🤣Kwa magoli yale yakizee Uto mchukuenu tyuu