Kuna kila dalili ya kuchakata pisi ya kiarabu leo

Kuna kila dalili ya kuchakata pisi ya kiarabu leo

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Niko maeneo Yangu ya kujidai kusherehekea mara baada ya kutoka kupima na kuambiwa Sina Ngoma ni mzima wa Afya kabisa.

Ili eneo flani hivi la Nyama za kuku choma hapa Dodoma. Nimeagiza kuku, na castle Light ya baridii kabisa kujipongeza.

Kwa pembeni naona kuna mtoto wa kiarabu koko ananikodolea kodolea macho, Nimeshaanza kumkonyeza na kuwasiliana nae kwa siri, Soon, soon nawaambia nitamtia kwenye imaya yangu na kwenda nae kusherehekea siku kuu hii ya leo.

Soon, soon ameshajaa kabisa huyu wakuu.

Nitakuja na mrejesho baada ya kufanikisha misheni hii.



Cc Zero IQ
 
Niko maeneo Yangu ya kujidai kusherehekea mara baada ya kutoka kupima na kuambiwa Sina Ngoma ni mzima wa Afya kabisa.

Ili eneo flani hivi la Nyama za kuku choma hapa Dodoma. Nimeagiza kuku, na castle Light ya baridii kabisa kujipongeza.

Kwa pembeni naona kuna mtoto wa kiarabu koko ananikodolea kodolea macho, Nimeshaanza kumkonyeza na kuwasiliana nae kwa siri, Soon, soon nawaambia nitamtia kwenye imaya yangu na kwenda nae kusherehekea siku kuu hii ya leo.

Soon, soon ameshajaa kabisa huyu wakuu.

Nitakuja na mrejesho baada ya kufanikisha misheni hii.



Cc Zero IQ
We si umepima ngoma leo, hukomi tu?
 
Back
Top Bottom