Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
- Thread starter
- #21
Tulia mkuu na usubiri mrejesho ameshakaa kwenye imaya yanguVipi mkuu amesema anakupa kwa sh ngapi?
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia mkuu na usubiri mrejesho ameshakaa kwenye imaya yanguVipi mkuu amesema anakupa kwa sh ngapi?
Hapana mkuu mi ni mchakataji wa Viazi kuwa Chipsi,Mkuu..hivi wewe shughuli zako kuu huwa ni kuchakata k?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Waarabu wa Tinde hao ni wasukuma tu wachunga ng'ombe.
Usisahau kumrukia ukutaNiko maeneo Yangu ya kujidai kusherehekea mara baada ya kutoka kupima na kuambiwa Sina Ngoma ni mzima wa Afya kabisa.
Kama ni mke wa mtu ununue kabisa babycare ili mambo yakiharibika uwe kabisa ni kilainishi maana bila kilainishi utapata maumivu makali sana
IMzee wa kuchakata Papuchi
Hahahaha [emoji28][emoji28]Waarabu wa ng'apa hao wamehamia chako ni chako [emoji23][emoji23]yasije yakakukuta ya side mnyamwezi mtoto wa mbezi tu,.[emoji13]
Unakumbuka nyimbo ya joselyn.."mshaji mmoja hivi", aliyepata HIV siku ya ku-celebrate kuwa negative HIV.
Bila shaka ulikua Chako ni Chako, ukute huyo ni changu mzoefu yuko mawindoni. Juzi niliopoa hapo mmoja kwa style yako.Niko maeneo Yangu ya kujidai kusherehekea mara baada ya kutoka kupima na kuambiwa Sina Ngoma ni mzima wa Afya kabisa.
Ili eneo flani hivi la Nyama za kuku choma hapa Dodoma. Nimeagiza kuku, na castle Light ya baridii kabisa kujipongeza.
HahahaNiko maeneo Yangu ya kujidai kusherehekea mara baada ya kutoka kupima na kuambiwa Sina Ngoma ni mzima wa Afya kabisa.
Ili eneo flani hivi la Nyama za kuku choma hapa Dodoma. Nimeagiza kuku, na castle Light ya baridii kabisa kujipongeza.
Kwa pembeni naona kuna mtoto wa kiarabu koko ananikodolea kodolea macho, Nimeshaanza kumkonyeza na kuwasiliana nae kwa siri, Soon, soon nawaambia nitamtia kwenye imaya yangu na kwenda nae kusherehekea siku kuu hii ya leo.
Soon, soon ameshajaa kabisa huyu wakuu.
Nitakuja na mrejesho baada ya kufanikisha misheni hii.
Cc Zero IQ
Kula mzigo mzee, maisha ni haya haya
Uko vzr
HahahaWaarabu wa ng'apa hao wamehamia chako ni chako 😂😂yasije yakakukuta ya side mnyamwezi mtoto wa mbezi tu,.😝