Kuna kila dalili zifikapo nyakati za uchaguzi mtandao utapunguzwa kasi ama kuzimwa kabisa. Tufanye nini kukabiliana na hali hiyo?

Kuna kila dalili zifikapo nyakati za uchaguzi mtandao utapunguzwa kasi ama kuzimwa kabisa. Tufanye nini kukabiliana na hali hiyo?

ngaiwoye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
2,150
Reaction score
3,225
Wananchi wenzangu hili lilijidhihirisha wakati wa uchaguzi wa mwaka 2020, lilijidhihirisha wakati wa maandamano ya Kenya (labda Ili Gen Z wa huku wasiige tabia mbaya), wakati wa vuguvugu la msiba wa Kibao.

Wakati wa yale maandamano baadhi ya hotuba na jana nimeona tena hali hiyo ambayo mpaka leo inaendelea, inanilazimu niunganishe na tukio la matatizo ya mtandao jana na tukio lililokuwa linaendelea katika Bunge la Kenya la kumng'oa Naibu Rais wao.

Pia hutokea wakati wa baadhi ya mijadala mbalimbali ya ghafla inayotokea hapa nchini.

Kuna mambo mengine labda mamlaka inafanya Ili kulinda wananchi wasiige yanayofanyika huko kwa kuogopa mabadiliko na pia fujo. Inawezekana pia ni katika hali ya kulinda amani.

Lakini sasa nawaza ikitokea internet ikapunguzwa kasi ama kuzimwa kabisa kipindi cha uchaguzi tutafanya nini Ili jambo hilo lisituathiri sana sisi wananchi?

NB: Hivi Kuna siku Afrika Mashariki uchaguzi utafanyika kidigitali kweli ikiwa mtandao ndo matatizo namna hii?

=======================================================

SOMA PIA:
 
Itakiwa wemgeni man...
Tulisogea KenyTalk mazeee...
Sema nakumbuka ilitokea tafarani wakenya wakawa wanatupa za uso kwa lugha ya bepari...🤣
 
Wananchi wenzangu hili lilijidhihirisha wakati wa uchaguzi wa mwaka 2020, lilijidhihirisha wakati wa maandamano ya Kenya (labda Ili Gen Z wa huku wasiige tabia mbaya), wakati wa vuguvugu la msiba wa Kibao.

Unataka kuongelea ya Kenya au Tanzania?
 
1. Vpn

2. Tunaamiaga kwenye platform ya Kenya, KT. In case wakizima na jf
SI mitandao ya kijamii ndio inazimwa ni internet kiujumla wake. Yaani hio smartphone yako inakua kama kitochi Cha 18000. Kama unakumbuka 2020 baada ya uchaguzi mtandao ulizimwa siku 2 au 3.
 
Wananchi wenzangu hili lilijidhihirisha wakati wa uchaguzi wa mwaka 2020, lilijidhihirisha wakati wa maandamano ya Kenya (labda Ili Gen Z wa huku wasiige tabia mbaya), wakati wa vuguvugu la msiba wa Kibao.

Wakati wa yale maandamano baadhi ya hotuba na jana nimeona tena hali hiyo ambayo mpaka leo inaendelea, inanilazimu niunganishe na tukio la matatizo ya mtandao jana na tukio lililokuwa linaendelea katika Bunge la Kenya la kumng'oa Naibu Rais wao. Pia hutokea wakati wa baadhi ya mijadala mbalimbali ya ghafla inayotokea hapa nchini.

Kuna mambo mengine labda mamlaka inafanya Ili kulinda wananchi wasiige yanayofanyika huko kwa kuogopa mabadiliko na pia fujo. Inawezekana pia ni katika hali ya kulinda amani.

Lakini sasa nawaza ikitokea internet ikapunguzwa kasi ama kuzimwa kabisa kipindi cha uchaguzi tutafanya nini Ili jambo hilo lisituathiri sana sisi wananchi?

NB: Hivi Kuna siku Afrika Mashariki uchaguzi utafanyika kidigitali kweli ikiwa mtandao ndo matatizo namna hii?
Kwa hiyo unaomba ushauri kwa wananchi ili usiathirike na utabiri wako? Nakushauri amka kumekucha acha kuota, ni muda wa kupambania ndoto zako sasa!
 
Nunua Bando la kutosha bana.

BTW, kuna Aifone kumi na sita nasikia ina spidi balaa🔥😂😂😂😂😂

Hatahivyo, kuwe na spidi ya Intaneti au lah, cha muhimu ni

[✓] au [X]

Uende kujiandikisha, kisha Ukapige kura.

Unahitaji simu kwenda Kupiga kura? Ama Intaneti?
 
Back
Top Bottom