Mgagaa na Upwa JF-Expert Member Joined Sep 30, 2013 Posts 13,481 Reaction score 28,116 Apr 10, 2020 #21 Sawa prod man maji tumekusikia,ila ndio hivyo game ishabadilika
Mgagaa na Upwa JF-Expert Member Joined Sep 30, 2013 Posts 13,481 Reaction score 28,116 Apr 10, 2020 #22 playboy babu said: Hata alipokuwa na man water mlimponda acheni unafki hata diamond alipotoka kwa Bob junior mliongea hivi hivi na kizur tangu Kiba ka achana na man water man water hasikiki kabisa ila jamaa na kings wanasumbua me nadhani wa kupewa ushaur n man water Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Kweli kabisa kiongozi,halafu sasa hivi huko kitaa kuna madogo wanapiga beats za maana kuliko hata wakongwe kina man water
playboy babu said: Hata alipokuwa na man water mlimponda acheni unafki hata diamond alipotoka kwa Bob junior mliongea hivi hivi na kizur tangu Kiba ka achana na man water man water hasikiki kabisa ila jamaa na kings wanasumbua me nadhani wa kupewa ushaur n man water Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Kweli kabisa kiongozi,halafu sasa hivi huko kitaa kuna madogo wanapiga beats za maana kuliko hata wakongwe kina man water
screpa JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 10,857 Reaction score 15,866 Apr 11, 2020 #23 Kwahiyo amtegemee Man Walter hadi lini? Kwanza Man Walter alianza kumpoteza kwa kumjazia masebene Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo amtegemee Man Walter hadi lini? Kwanza Man Walter alianza kumpoteza kwa kumjazia masebene Sent using Jamii Forums mobile app
Waberoya Platinum Member Joined Aug 3, 2008 Posts 15,168 Reaction score 10,810 Apr 11, 2020 #24 Naona gap la man walter lipo tu, hata kama Kiba atajitahidi kurelax Kama hamtaki man walter wako wanaoweza awatafute
Naona gap la man walter lipo tu, hata kama Kiba atajitahidi kurelax Kama hamtaki man walter wako wanaoweza awatafute
osmaney JF-Expert Member Joined Jan 18, 2017 Posts 1,042 Reaction score 998 Apr 11, 2020 #25 Kwani Ali kapotea?? Sent using Jamii Forums mobile app