Kuna kila sababu ya Ali Kiba kujitafakari upya

Kuna kila sababu ya Ali Kiba kujitafakari upya

Hata alipokuwa na man water mlimponda acheni unafki hata diamond alipotoka kwa Bob junior mliongea hivi hivi na kizur tangu Kiba ka achana na man water man water hasikiki kabisa ila jamaa na kings wanasumbua me nadhani wa kupewa ushaur n man water

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa kiongozi,halafu sasa hivi huko kitaa kuna madogo wanapiga beats za maana kuliko hata wakongwe kina man water
 
Naona gap la man walter lipo tu, hata kama Kiba atajitahidi kurelax

Kama hamtaki man walter wako wanaoweza awatafute
 
Back
Top Bottom