Kuna Kipele kimenitokea sehemu ya siri, mwenye kujua dawa anisaidie

Ucjalo mpendwa huo ni mchafuko tyuu wa dam 2mia ampiclox caps utapona kabisa
 
[UOTE="Nikhil, post: 16203841, member: 136712"]Ucjalo mpendwa huo ni mchafuko tyuu wa dam 2mia ampiclox caps utapona kabisa[/QUOTE]
Ampiclos zinaruhusiwa kwa mjamzito nijuze
 
Sijajua ukuaji wake mezi mitatu ijayo itakuwaje
naona una wasi wasi sana dada, inawezekana ni ka kipele tu but unawaza mengine. maadamu kiko pembeni sioni tatizo sana.
 
naona una wasi wasi sana dada, inawezekana ni ka kipele tu but unawaza mengine. maadamu kiko pembeni sioni tatizo sana.
Wasiwasi upo ndugu wengi wanasema walitokewa navyo baada kujifungua very katoweka vyenyewe eti ñi changamoto tuu za mimba ila mmh kiaipoendelea kukua cna hata wasiwasi nacho
 
Kama Dokta Amesema Basi Jua Mkeo ana Vaginal Warts na Wewe Kama Ulisex naye vikitokea basi Fanya Hivi

Tafuta Dawa ya Kupaka Ila Apake Kidogo sana...(podosal)sehemu husika tu na achanganye na Mafuta ya Kujipaka Ya Mgando.. Yaani achukue Podosal+mafuta ya mgando ndo apake sehemu husika tu....Maana Kama Kikisambaa huwa Vinaingia Ndani ya Uke na Kuwa Vingi zaidi na Apake Mara Moja kwa Siku... Chukua Cotton stick(zile za masikioni) ndo uwe unampakia Mahali husika tu ukipaka Pemben Inamuunguza na Atapata Vidonda

Ingawa kama ni Mjamzito vinaweza Kumsumbua Maana Immunity ipo Chini kidogo na hizi Warts(vaginal warts) vinaisha kama Immunity ni kubwa... Na wewe usijaribu kusex naye maana utavipata pia
 
Pole sana enda mka pimwa na mpenzi wako ndo ujuwe chanzo cha kidonda hicho ni nini God bless you
 
Mimi ni daktari mzuri sana wa huo ugonjwa na nimesaidia wengi kama una nafasi nifuate kwangu tabata kimanga kesho saa 2 usiku kwa ajili ya matibabu.Asante
 
Mimi ni daktari mzuri sana wa huo ugonjwa na nimesaidia wengi kama una nafasi nifuate kwangu tabata kimanga kesho saa 2 usiku kwa ajili ya matibabu.Asante
Mmmh SAA Mbili ucku???? Siko dar kwa sasa na kwann ucku!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…