Kuna kitu gani kilichojificha hapa kati ya wamama na viserengeti boys?

Kuna kitu gani kilichojificha hapa kati ya wamama na viserengeti boys?

Kamatia fursa...tumia dudu yako wala huhitaji cheti...ni nguvu zako tu za kusugua papuchi mpaka ueleweke...Usaili unafanyikaga kinondoni.
 
Na hilo linawezekana,
Jambo la pili jimama linapopewa appointment linawahi kabla ya muda na linakutwa tayari limeishajilewesha (si lina pesa?) tofauti na wadada waongo waongo - oh! nilisubiri mama atoke ... kumbe woga wa kudooo!
Hahhahaaa...halafu wamama wengi wenye mahela kama hivyo wako lonely sana. So akishaset appointment kama hivyo...achelewe ili iweje..
 
BAADHI YA vijana wanaanza kutamani majimama baada ya kuona MILF porno unajua kina mama wale wanajua mapenzi. Akili za kishetani na mapepo yanachangia
 
wamam
Vijana wengi kuanzia miaka 15 hadi 25 wana hamu sana na majimama hasa yale manene. STori nyingi kwenye media na vijiweni vijana husifia sana wamama ambao wana umri sawa na wazazi wao au hata bibi zao kabisa.
Kasi kubwa ya vijana kupenda sugar mamies ni kubwa mno tofauti na zamani. Akipita tuu mama kafungasha lazima utaona vijana wanapindisha shingo kumtazama huyo mwanamke.

Tukirudi kwa upande wa wamama wao kila siku ni kuota viserengeti boys tuu. Story nyingi kwenye mitandao na vijiweni husikika akina mama hawa wakitamani hao vijana. Kuna saluni moja ya kike hapa jirani yani ishakuwa kero maana wanawake wanavyoongea hadin kero. Vijana hapa wakike na wakiume hapa washaanza kuharibika sababu ya hawa ndugu.

Sasa swali langu kuna uvutano gani kati ya vijana na wamama? kwanini hamu ya ngono inachochewa sana hasa wanapokutana? Kuna nguvu gani jamani hapa?
a ni watamu balaa kwanza hawaogopi dyudyu kama vischana,,,then wanakua commited kwei kwa mgegedo
 
Hao vijana ni wavivu wa kutafuta na wanapenda starehe hawana lolote ni tamaa tu, hao wamama nao wanapenda mchamchaka panapo sita kwa sita, so hawajutii kuhonga hawa wavivu wa kutafuta
wamama ni watram acheni,,kwanza akiamua kukuvulia chupi anakupa kwa moyo wote,,na lle joto lao lilivo amaizing basi raha tyupu
 
Jimama la nguvu halina stress za kuomba hela kila time pili linatoa good appointment na wanajiachia vizuri na wanakupa mchezoo bila ya hiyana kabisa
 
Hao vijana ni wavivu wa kutafuta na wanapenda starehe hawana lolote ni tamaa tu, hao wamama nao wanapenda mchamchaka panapo sita kwa sita, so hawajutii kuhonga hawa wavivu wa kutafuta
We hupend mchakamchaka?
 
kichefu chefu.....unakuta limama lina tumbo kubwa ,kifuani ka ndala za umoja zimepigiliwa na msumali kifuani,ngozi imetepeta....sitokuja hata siku kamwe
 
Naskia dushe za viserengeti ni fupi flani,zinawasugua wamama kwa juu,wanapata raha ya clitoris,watu wazima wanapenda kupenyeza ndani kwenye maini ambapo haimpi raha mwanamke badala yake anasikia tu kubugudhiwa
 
Jimama hana longolongo, kazi ya Serengeti ni ndogo tu, kumfikisha kileleni. Pia wengi sio wasaliti, hawana story za nitachelewa kuja, ila kwa kuganda sasa mmmh. Siri ya kufaidi jimama usiwe na mbwembwe za kumsumbua, yaani kujifanya una style kibaaao, the best style ni kifo cha mende pekee nyingine zote ni mbwembwe tu
 
Back
Top Bottom