Kuna kitu hakipo sawa NACTE: Wanafunzi wamefeli sana mitihani ya semester

Kuna kitu hakipo sawa NACTE: Wanafunzi wamefeli sana mitihani ya semester

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
HJaiwezekani wanafunzi wakafeli mitihani yao kiwango hiki. Kuna kitu hakipo sawa either kwa vyuo na ufundishaji au utungaji wa mitihani NACTE.

Pitia vyuoni wanafunzi wamefeli sana na NACTE seems not to take care na kujiuliza kua nini? Siamini kama wanafunzi ni "hovyo" kiasi hicho. Kuna kitu hakipo sawa. Waziri wa Elimu ingilia kati upate majibu ya kufeli huku.

Kuna (nakihifadhi) chuo kimewadisco wanachuo 13! hii si kawaida, kuna sababu na si udhaifu wa wanafunzi!
 
Kudisco ni kawaida kama mwanafunzi hasomi kwa malengo au hasomi kabisa.
 
Mwaka huu napenda kuwapongeza NACTE kwa kudhibiti mitihani hasa ya kozi za afya hususan utabibu.

Chunguzeni sana vyuo hivi maana tangu mkifungie chuo kimoja Iringa,kumekuwa na utulivu sana na hakuna tena mitihani inayozagaa kabla ya muda haujafika.

Mwisho mngetoa uhuru kwa vyuo kutumia wataalamu wake kufundusha masomo ya msingi ya kuziba pengo analokuja nalo mwanafunzi hasa akiwa na D pekee za O level
 
HJaiwezekani wanafunzi wakafeli mitihani yao kiwango hiki. Kuna kitu hakipo sawa either kwa vyuo na ufundishaji au utungaji wa mitihani NACTE.

Pitia vyuoni wanafunzi wamefeli sana na NACTE seems not to take care na kujiuliza kua nini? Siamini kama wanafunzi ni "hovyo" kiasi hicho. Kuna kitu hakipo sawa. Waziri wa Elimu ingilia kati upate majibu ya kufeli huku.

Kuna (nakihifadhi) chuo kimewadisco wanachuo 13! hii si kawaida, kuna sababu na si udhaifu wa wanafunzi!
Weweee. Binafsi naona kama NACTE wanatakiwa pongezi kwa maboresho waliyofanya kuhakikisha kila mtahiniwa amevuna alichopanda. Hakuna kitu kinatia hasira kama kuwa na work mate ana vyeti safi lakini kichwani ni MAVI matupo kila kitu anakimbilia google. enzi zetu miaka ya 1980 darasa zima la michepuo miwili na wanafunzi 80 shule flani kupiga div. iv 10 na zoro 70 ilikuwa kitu cha kawaida sana. Hatutaki matokeo yanayofurahisha roho zetu. Tunataka gratuates watakaokuwa wabunifu na kuja na njia mbadala za kutatua matatizo lukiki tuliyo nayo kwenye jamii zetu. Period! kama umechukizwa na matokeo hayo mabaya nenda mahakamani mitihani ishishwe upya siyo kuja kulia lia hapa jf. mburula mkubwa wewe.
 
HJaiwezekani wanafunzi wakafeli mitihani yao kiwango hiki. Kuna kitu hakipo sawa either kwa vyuo na ufundishaji au utungaji wa mitihani NACTE.

Pitia vyuoni wanafunzi wamefeli sana na NACTE seems not to take care na kujiuliza kua nini? Siamini kama wanafunzi ni "hovyo" kiasi hicho. Kuna kitu hakipo sawa. Waziri wa Elimu ingilia kati upate majibu ya kufeli huku.

Kuna (nakihifadhi) chuo kimewadisco wanachuo 13! hii si kawaida, kuna sababu na si udhaifu wa wanafunzi!
Corona
 
Weweee. Binafsi naona kama NACTE wanatakiwa pongezi kwa maboresho waliyofanya kuhakikisha kila mtahiniwa amevuna alichopanda. Hakuna kitu kinatia hasira kama kuwa na work mate ana vyeti safi lakini kichwani ni MAVI matupo kila kitu anakimbilia google. enzi zetu miaka ya 1980 darasa zima la michepuo miwili na wanafunzi 80 shule flani kupiga div. iv 10 na zoro 70 ilikuwa kitu cha kawaida sana. Hatutaki matokeo yanayofurahisha roho zetu. Tunataka gratuates watakaokuwa wabunifu na kuja na njia mbadala za kutatua matatizo lukiki tuliyo nayo kwenye jamii zetu. Period! kama umechukizwa na matokeo hayo mabaya nenda mahakamani mitihani ishishwe upya siyo kuja kulia lia hapa jf. mburula mkubwa wewe.
Weweshule yako ni ya chini. aliyeingia darasani angalau akapata University education hawezi toa jibu hilo. Academician will never give such a rubbish answer, majibu yako ni ya semi-illiterate person!
 
Mwaka huu napenda kuwapongeza NACTE kwa kudhibiti mitihani hasa ya kozi za afya hususan utabibu.

Chunguzeni sana vyuo hivi maana tangu mkifungie chuo kimoja Iringa,kumekuwa na utulivu sana na hakuna tena mitihani inayozagaa kabla ya muda haujafika.

Mwisho mngetoa uhuru kwa vyuo kutumia wataalamu wake kufundusha masomo ya msingi ya kuziba pengo analokuja nalo mwanafunzi hasa akiwa na D pekee za O level
Albert Einstein alikataliwa ku register for PhD kuwa research yake haikukidhi viwango... but he happened latter to one of the genius man on earth! D is immaterial to judge somebody's intellect....
 
Mkuu nilipokua chuo nakumbuka hatukua chini ya NACTE ila semister ya Kwanza tu kozi yetu walidisco watu 7 na supplimentaries mbili mbili kama njugu ambapo ukipata nyingine umedisco.
Nahisi wale wazee wamehamia huku sasa bila kujali ufaulu wa madogo wengi wanaosoma huku.
Nafikir watu wengi kufeli c Jambo zuri Sana . Kama Wana mlengo positive waangalie kuna mahala hapapo sawa...sio kukimbilia Tu kwamba madogo hawasomi.

ila madogo nao wakaze shule c lelemama. wapunguze mambo ya Facebook, Instagram, party zisizo na msingi na anasa zingine kibao. mambo yamebadilika.
 
Mtazamo wangu...

baadhi ya vyuo huchukua wanafunzi wengi tena Kwa ufaulu uliochini kidogo huku wakifocus Sana kwenye kukusanya ada tu bila kuangalia wanawasaidia vipi vijana wawe competent enough.

hii inaleta changamoto kuanzia ufundishwaji wao, rotations zao hospital, field works na hata uelewa wa mwanafunzi mmoja mmoja.

Halafu pia Mimi naona japo sijui ila kuna shida kwenye waalimu wanaofundisha hawa madogo. Je wapo vizuri? wanakua trained kufundisha ama kuna kozi maalumu wanapitia kabla ya kufundisha na wanapimwa au ndo Ile GPA 3.8 and above basi..?

Mimi navofahamu kufaulu Sana c lazima kwamba unaweza ukawa mwalimu mzuri pia. sasa sijajua vyuo vyetu hasa private wanawapataje walimu na wanawapimaje kabla hawajawaajiri kufundisha hawa vijana.

sometimes wanafunzi huwa wanajibu kulingana na mwalimu wao kawafundisha nini wakati Nacte wanasahihisha mitihani Yao kulingana na walichokiandaa Kwa mwanafunzi alichotakiwa asome ....sasa kunakua kuna tofauti ndogo ndogo zinajitokeza hapo.

Mimi nafikiri kuna haja wahusika wakae chini wawashirikishe na wadau kuondoa haya matatizo kadhaa ili kutimiza mlengo mzuri wa kupata wataalamu Bora. ILA sio kila mmoja kuminya upande wake huku akisema "aah watajua wenyewe" ....
 
Mtazamo wangu...

baadhi ya vyuo huchukua wanafunzi wengi tena Kwa ufaulu uliochini kidogo huku wakifocus Sana kwenye kukusanya ada tu bila kuangalia wanawasaidia vipi vijana wawe competent enough.

hii inaleta changamoto kuanzia ufundishwaji wao, rotations zao hospital, field works na hata uelewa wa mwanafunzi mmoja mmoja.

Halafu pia Mimi naona japo sijui ila kuna shida kwenye waalimu wanaofundisha hawa madogo. Je wapo vizuri? wanakua trained kufundisha ama kuna kozi maalumu wanapitia kabla ya kufundisha na wanapimwa au ndo Ile GPA 3.8 and above basi..?

Mimi navofahamu kufaulu Sana c lazima kwamba unaweza ukawa mwalimu mzuri pia. sasa sijajua vyuo vyetu hasa private wanawapataje walimu na wanawapimaje kabla hawajawaajiri kufundisha hawa vijana.

sometimes wanafunzi huwa wanajibu kulingana na mwalimu wao kawafundisha nini wakati Nacte wanasahihisha mitihani Yao kulingana na walichokiandaa Kwa mwanafunzi alichotakiwa asome ....sasa kunakua kuna tofauti ndogo ndogo zinajitokeza hapo.

Mimi nafikiri kuna haja wahusika wakae chini wawashirikishe na wadau kuondoa haya matatizo kadhaa ili kutimiza mlengo mzuri wa kupata wataalamu Bora. ILA sio kila mmoja kuminya upande wake huku akisema "aah watajua wenyewe" ....

Mkuu mimi ni Mkufunzi katika Chuo X kilichopo hapa Dar nimekuwa nikifanya part time teaching kwenye chuo fulani hapa mjini..! Baadhi ya vitu ulivyoandika havina uhusiano na ufaulu.!
Ipo hivi, Kwa mwaka huu 2020 mitihani haijavuja kama ilivyokuwa awali ambapo unakuta wanafunzi hawahudhurii vipindi darasani wakiamini kabisa watapata mtihani ulio leak wasilve kama ilivyokuwa awali lakini mwaka huu mambo yamekuwa tofauti kidogo. Gaka walilokuwa wakingojea halipo tena na pia wanafunzi wanaodahiliwa kwenye daraja hili la elimu wengi wao ni wale waliofeli A level na kurudi nyuma kutumia marks zao walizofaulu O level, kufeli ni kitu cha kutegemea sana.
Mbali na hilo, NACTE nao wamekuwa laini sana kuhusu kuzi regulate hizi taasis zinatoendesha mafunzo haya. Watu wanadahili wanafunzi hadi 300 hilo darasa moja na walimu alio nao unakuta ni watatu au watano na kwenye hio idadi kuna akina sisi part time workers so ile close monitoring ya wanafunzi haipo na ukijumlisha na uwezo wao (wengi wao ukiachana na hawa waliofeli A level ambao ni Afadhali ukija kwenye hizi level) ni mbovu sana.
MIE NAMALIZIA KWA KUSEMA, KONGOLE NACTE, CONGOLE WIZARA YA AFYA KWA KUDHIBITI KUVUJA KWA MITIHANI. Huenda wanafunzi awamu hii watasoma.
 
Mkuu mimi ni Mkufunzi katika Chuo X kilichopo hapa Dar nimekuwa nikifanya part time teaching kwenye chuo fulani hapa mjini..! Baadhi ya vitu ulivyoandika havina uhusiano na ufaulu.!
Ipo hivi, Kwa mwaka huu 2020 mitihani haijavuja kama ilivyokuwa awali ambapo unakuta wanafunzi hawahudhurii vipindi darasani wakiamini kabisa watapata mtihani ulio leak wasilve kama ilivyokuwa awali lakini mwaka huu mambo yamekuwa tofauti kidogo. Gaka walilokuwa wakingojea halipo tena na pia wanafunzi wanaodahiliwa kwenye daraja hili la elimu wengi wao ni wale waliofeli A level na kurudi nyuma kutumia marks zao walizofaulu O level, kufeli ni kitu cha kutegemea sana.
Mbali na hilo, NACTE nao wamekuwa laini sana kuhusu kuzi regulate hizi taasis zinatoendesha mafunzo haya. Watu wanadahili wanafunzi hadi 300 hilo darasa moja na walimu alio nao unakuta ni watatu au watano na kwenye hio idadi kuna akina sisi part time workers so ile close monitoring ya wanafunzi haipo na ukijumlisha na uwezo wao (wengi wao ukiachana na hawa waliofeli A level ambao ni Afadhali ukija kwenye hizi level) ni mbovu sana.
MIE NAMALIZIA KWA KUSEMA, KONGOLE NACTE, CONGOLE WIZARA YA AFYA KWA KUDHIBITI KUVUJA KWA MITIHANI. Huenda wanafunzi awamu hii watasoma.
"Baadhi ya vitu ulivyoandika havina uhusiano na ufaulu.!"
mkuu em tuanzie hapa tudiscuss Kwa kirefu tuone....
sababu naona umeongelea upande Tu wanafunzi lakini sidhan kama wote wanaofeli hawasomi kwamba wana mategemeo hayo.
suala la watu kudahiliwa wengi Sawa nakubali Kwa kulinganisha na idadi ya wanafunzi.
Suala la kuvuja Kwa mitihani Sawa....
turudi kwenu walimu , unavyoona wewe walimu wengi wapo competent enough Kati ya wanaofundisha? maana unapotazama tatizo....litazame Kwa upana usiangushie tu Kwa upande mmoja...
walimu wanapatikanaje wanaofundisha vyuo vya afya hasa vya private? wanapata kozi maalum ya ufundishaji au ni kigezo cha GPA tu na koneksheni .......
 
Sijui ni chuo kipi hicho, ila sababu zinaweza kuwa ni nyingi, lakini kabla ya kulalamika mtandaoni, serikali ya wanafunzi hapo chuoni ilifuatilia kujua tatizo limesabashwa na nini?
 
Sijui ni chuo kipi hicho, ila sababu zinaweza kuwa ni nyingi, lakini kabla ya kulalamika mtandaoni, serikali ya wanafunzi hapo chuoni ilifuatilia kujua tatizo limesabashwa na nini?
Naam mkuu binafsi nakubaliana nawewe ...tena ikiwezekana ifanywe tathmini ya kina Kwa vyuo vyote tu.

sababu kila mwaka ni kilio cha Nacte ,Nacte, Nacte.........
 
"Baadhi ya vitu ulivyoandika havina uhusiano na ufaulu.!"
mkuu em tuanzie hapa tudiscuss Kwa kirefu tuone....
sababu naona umeongelea upande Tu wanafunzi lakini sidhan kama wote wanaofeli hawasomi kwamba wana mategemeo hayo.
suala la watu kudahiliwa wengi Sawa nakubali Kwa kulinganisha na idadi ya wanafunzi.
Suala la kuvuja Kwa mitihani Sawa....
turudi kwenu walimu , unavyoona wewe walimu wengi wapo competent enough Kati ya wanaofundisha? maana unapotazama tatizo....litazame Kwa upana usiangushie tu Kwa upande mmoja...
walimu wanapatikanaje wanaofundisha vyuo vya afya hasa vya private? wanapata kozi maalum ya ufundishaji au ni kigezo cha GPA tu na koneksheni .......

Kwanza Ahsantee kwa kuwa mstarabu na mtu mwenye sifa za kuitwa msomi.!
Niseme ukweli ambao huenda hujui au wakati mwingine unaufahamu toka muda mrefu. Ni kwamba, wanafunzi wanaodahiliwa kwenye vyuo vya binafsi ni mchanganyiko wa Mawe na Mchanga.! Namaanisha hili, vyuo vya watu au mashirika binafsi zaidi vimejikita kwenye kupata idadi kubwa ya wanafunzi ambao kwenye suala la vigezo hawajali sana ili mradi tu huyu mtoto ana D tatu katika masomo matatu .. Physics, Chemistry na Biology. Na kwa wafamasia, ndio wamekua cheap sana kwenye upande wa vigezo na utakuta vyuo vingi sana sasa hivi utakuta idadi ya wanafunzi wanaosoma famasi ni wengi mnoo kuliko kada zingine kwa sababu tu wao hata ile D ya physics hawaijali sana hata awe alipata F somo la hesabu.
Kwa vigezo hivyo, vyuo vya serikali vinachukuaga zile grade nzuri na kuacha wale wengine waliokosa huko serikalini kukimbilia vyuo vya Binafsi. Sasa ukija kuwaangalia hawa wanafunzi ambao hawajafaulu hesabu O level nafasi yao ya kufanya vizuri huku Elimu ya kati ni mdogo sana. Kwa mfano, course ya famasi kuna mahesabu yao wafamasia wanayo kwa mtu ambaye hesabu hakupata alama nzuri au hakuwa vizuri tu O level analiwa kichwa.
Na kufeli kwa wanafunzi wengi wanafeli kwa kutojali masomo, kujiamini sana na kuacha kusoma wakijua watapata Gaka na watachomoa.
Kingine, NACTE wanapaswa wajitahidi sana kuzifuatilia hizo A zinazopatikana vyuoni kama ni halali. Wengi wanapewa tu na walimu wao ili kuwafurahisha Mabosi wao au Waajili wa kwa Alama A hewa ambazo zikiingizwa kwenye chumba cha mtihani ambao haukuvuja zinageuka kuwa C na D. Waalimu wanafundisha mzee Baba..! Na kuacha hiyo kuna mafunzo maalumu yaitwayo Teaching methodology wanapatiwa walimu.

Nitarudi tena Mkuu Ahsantee [emoji1545]
 
Kwanza Ahsantee kwa kuwa mstarabu na mtu mwenye sifa za kuitwa msomi.!
Niseme ukweli ambao huenda hujui au wakati mwingine unaufahamu toka muda mrefu. Ni kwamba, wanafunzi wanaodahiliwa kwenye vyuo vya binafsi ni mchanganyiko wa Mawe na Mchanga.! Namaanisha hili, vyuo vya watu au mashirika binafsi zaidi vimejikita kwenye kupata idadi kubwa ya wanafunzi ambao kwenye suala la vigezo hawajali sana ili mradi tu huyu mtoto ana D tatu katika masomo matatu .. Physics, Chemistry na Biology. Na kwa wafamasia, ndio wamekua cheap sana kwenye upande wa vigezo na utakuta vyuo vingi sana sasa hivi utakuta idadi ya wanafunzi wanaosoma famasi ni wengi mnoo kuliko kada zingine kwa sababu tu wao hata ile D ya physics hawaijali sana hata awe alipata F somo la hesabu.
Kwa vigezo hivyo, vyuo vya serikali vinachukuaga zile grade nzuri na kuacha wale wengine waliokosa huko serikalini kukimbilia vyuo vya Binafsi. Sasa ukija kuwaangalia hawa wanafunzi ambao hawajafaulu hesabu O level nafasi yao ya kufanya vizuri huku Elimu ya kati ni mdogo sana. Kwa mfano, course ya famasi kuna mahesabu yao wafamasia wanayo kwa mtu ambaye hesabu hakupata alama nzuri au hakuwa vizuri tu O level analiwa kichwa.
Na kufeli kwa wanafunzi wengi wanafeli kwa kutojali masomo, kujiamini sana na kuacha kusoma wakijua watapata Gaka na watachomoa.
Kingine, NACTE wanapaswa wajitahidi sana kuzifuatilia hizo A zinazopatikana vyuoni kama ni halali. Wengi wanapewa tu na walimu wao ili kuwafurahisha Mabosi wao au Waajili wa kwa Alama A hewa ambazo zikiingizwa kwenye chumba cha mtihani ambao haukuvuja zinageuka kuwa C na D. Waalimu wanafundisha mzee Baba..! Na kuacha hiyo kuna mafunzo maalumu yaitwayo Teaching methodology wanapatiwa walimu.

Nitarudi tena Mkuu Ahsantee [emoji1545]
Sawa mkuu nimekuelewa siongezi neno.
Vijana wasome waache ujanja ujanja.
 
Back
Top Bottom