Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 270
- 450
Wakuu
Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la viongozi kutoa kauli za kutisha, kuogofya na kutia mashaka lakini ajabu ni kwamba hawachukuliwi hatua si kwenye vyama vyao wala Serikali wanayoiwakilisha.
Hii inatia mashaka na kutoa ishara kwamba kwa pamoja wameshajua udhaifu wa dereva wa gari kwahiyo hawaogopi chochote maana wanajua hana uwezo wa kuwakemea wala kuwachukulia hatua.
Na kwakua dereva bado anataman kuendesha gari basi anawaacha wajimwaye mwaye maana wamemuhakikishia seat ya dereva haitokaliwa na mtu mwingine isipokuwa yeye no mara waa
Kinachoniuma zaidi ni kwamba alosema tutamkumbuka speed ya kumkumbuka imeongezeka kwa kiasi kikubwa.
Maana wale wale alowakataa yeye ndio hawa hawa wanaotoa kauli za kuumiza na kukandamiza wananchi. Natamani sana ufanyike muujiza katika lile box la twenty twenty five kwa mara ya kwanza katika historia tuondoe nguzo ya mkoloni lakini bahati mbaya ni kwamba refa ndio anayepanga matokeo.
Watu wa hali ya chini wanateseka, wanaumia, wanalia lakini hakuna anaejali, mbuzi wote wanakula
Kwa udhaifu wa mchungaji.
Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la viongozi kutoa kauli za kutisha, kuogofya na kutia mashaka lakini ajabu ni kwamba hawachukuliwi hatua si kwenye vyama vyao wala Serikali wanayoiwakilisha.
Hii inatia mashaka na kutoa ishara kwamba kwa pamoja wameshajua udhaifu wa dereva wa gari kwahiyo hawaogopi chochote maana wanajua hana uwezo wa kuwakemea wala kuwachukulia hatua.
Na kwakua dereva bado anataman kuendesha gari basi anawaacha wajimwaye mwaye maana wamemuhakikishia seat ya dereva haitokaliwa na mtu mwingine isipokuwa yeye no mara waa
Kinachoniuma zaidi ni kwamba alosema tutamkumbuka speed ya kumkumbuka imeongezeka kwa kiasi kikubwa.
Maana wale wale alowakataa yeye ndio hawa hawa wanaotoa kauli za kuumiza na kukandamiza wananchi. Natamani sana ufanyike muujiza katika lile box la twenty twenty five kwa mara ya kwanza katika historia tuondoe nguzo ya mkoloni lakini bahati mbaya ni kwamba refa ndio anayepanga matokeo.
Watu wa hali ya chini wanateseka, wanaumia, wanalia lakini hakuna anaejali, mbuzi wote wanakula
Kwa udhaifu wa mchungaji.