Kuna kitu kibaya Wema Sepetu kafanyiwa(mtazamo wa jicho la tatu)

Enzi za Mwalimu watu maarufu walikuwa ni wenye akili timamu, siku hizi ni kinyume chake.
 
Thread ya zamani sana hii...


cc: mahondaw
Hapo ndio umenikosha sasa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji109]
 
Aulizwe Mbowe
 
keshajiharibu huyo dada maana kwa sasa uzuri wake haupo kabisa
 
Mm napenda sura yake tu, sijasoma maelezo...nilikuwa natizama sura yake basi. Wanaume na mijisuruali amewatega na wakategeka....kweli wema na mgodi wake ni wajanja wa hapa duniani....hongera wema..hongera TZ
 
Comrade....
Utabiri wako umetimia aiseeeee....[emoji5] [emoji5]
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji781] [emoji779] [emoji781] [emoji779] [emoji817]
 
Mkuu mshana jr kumbuka kwanba mti webye matunda ndio hulengwa mawe kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…