Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Nilikuwa sielewi why Wema,lakini siku nilipomsikia mama yake anaongea,nikapata majibu there is nothing she can do maana haya mambo yake ni hereditary toka kwa mum
Kumbe karithi!kuna vingi vya kurithishana.Nilikuwa sielewi why Wema,lakini siku nilipomsikia mama yake anaongea,nikapata majibu there is nothing she can do maana haya mambo yake ni hereditary toka kwa mum
aaaaaaahhhh , binamu hujui amenunua nyumba ya mil 500 na anaendesha range rover evoqueAna mafanikio gani huyo binti?
aaaah binamu unapenda kuchochea mambo, ebu tupe link basi wengine tulipitwaOh yeah...ingia YouTube uone mambo yao....
wema ana pepo la uongo jamani, kama alivyojisemea zari miss fekero kila kitu fake hakukosea kabisa , hii mimba imemtia aibu, sijui anavyodanganyaga hafikirii kesho, maana ana uongo wa kitoto sana
last year kulikua na thread hapa inasema "wema ana billion 7 kwenya a/c yake"+house 400 millions+shop at mwenge(disclosed fee).Ana mafanikio gani huyo binti?
last year kulikua na thread hapa inasema "wema ana billion 7 kwenya a/c yake"+house 400 millions+shop at mwenge(disclosed fee).
'What can I say, I love spotlight! 'Wema ameshawahi kusema kuwa yeye anapenda attention..So utaweza ukawa unamuonea huruma kwa mengi yanayomkuta kumbe yeye anaenjoy sana hivyo visanga
Binam karibu kesho bills umwone Wema na tumbo lake akiwa na idrisswema ana pepo la uongo jamani, kama alivyojisemea zari miss fekero kila kitu fake hakukosea kabisa , hii mimba imemtia aibu, sijui anavyodanganyaga hafikirii kesho, maana ana uongo wa kitoto sana
halooo si mpaka, nasikia kashaachwa binamuBinam karibu kesho bills umwone Wema na tumbo lake akiwa na idriss