Kuna kitu kibaya Wema Sepetu kafanyiwa(mtazamo wa jicho la tatu)

huyu wema anatafutaga makubwa tu mbona akina k-lyn wana wanaume wa maana wametulia tu hawana shida, ye kupata madanga wa kumpangishia kijitonyama tu basi mtaa wa pili tunakoma, je angekua ana nyumba si tungekoma jamani, mmh ebu atulie bwana aache drama za kijinga
 
Na mmeshamkoma.
Mme ndio Sultan
 
Bado majority wameangukia kule kule kwenye kumshambulia kwahiyo tatizo lipo
Nimeongelea kuhusu hata makuzi yake hasa kupitia mama yake..kuna mabinti wengi tu wamepata makuzi mabaya kuliko hayo ya Wema na ile foolish age ikawapiga vizuri hasa lakini leo wametulia
Ni kweli kuwa Wema ni attention seeker hii ni hulka ya kiasili ya mtu..na kwa hili Wema aliweza..lakini naamini wengi waliona ile tweet yake kuhusu yeye kutozaa inatia huruma mno pale aliongelea uhalisia wake
Trending yake sasa hivi sio attention seeking tena bali ni desparation , setbacks, kukataliwa na jamii ni vidole kila anapopita anachofanya analosema.... .na hapa ndio penye tatizo
 
Namkumbuka Britney Spears! Nae alisumbua sana miaka ya 2007! Saivi hayupo tena ktk media Spotlight! It is a matter of time tu!
 
Mkuu wit all due respect hata wewe ni tatizo kwake pia
Kulikua na ulazima gani kuweka hiyo picha ambayo unajua kabisa ni kosa kisheria? Na unalaumu watu wwanamsakama wema kwa mabaya tu!!!!!
 
Mkuu wit all due respect hata wewe ni tatizo kwake pia
Kulikua na ulazima gani kuweka hiyo picha ambayo unajua kabisa ni kosa kisheria? Na unalaumu watu wwanamsakama wema kwa mabaya tu!!!!!
Posts haijaegemea upande nimeweka picha karibia tano tatu ni wema asilia moja kajichubua na moja ni hiyo ya utupu ambayo ndio imekuwa gumzo
Ningeweka nyingi mbaya ndio labda ungenihukumu..nakuwekea tena picha zake nzuri
 
I am very sorry for Wema! Na am very sorry for her kwavile ni msichana na life style aliyoichagua. Kwa mwanamke, life style aliyoichagua inamfaa yule tu mwenye misingi mizuri ya kiuchumi manake, ukishakuwa na pesa, huzeeki hata kama kimsingi utakuwa umezeeka.
 
Huyu bado hajapata dume la mbegu,hawa mabishoo wa instagram na bongo fleva wanamgusa gusa tu kibrazameni,akipata mtu akampiga miti kisawa sawa mbona atatulia tu...ajaribu radha za kimakonde sasa huo utoto wake wote utakwisha.

Wema njoo kwa chinga ufundishwe ukubwa.
 
mshana jr huyu bi dada ni jipu,anamakuzi ya ajabu,anataka kuuleta umagharibu kwa lazima,then kuna issue iliwahi kuzuka katika mitandao mbalimbali kuwa most of hizo kopi za magazeti ambazo zinmwandika vibaya huwa kuna kamchezo fulani kanachezwa hapo ili awe front page,mfano wewe mshana jr unataka kuuuza sura katika gazeti,unaongea na waandishi wa habari wa magazeti ya udaku wanakutengenezea skendo yenye maslahi ya kuuza wewe then wanakupachika katika kurasa za ,mbele,kesho unakuwa gumzo nchi nzima,na hii hali pia ipo hata wasanii wengi nchini,huwa wanatafuta angel za kutokea kwa kujitengenezea skendo na kuwaomba waandishi njaa wawaandike katika front page za magazeti yao,

Mfano wa hili ni ile skendo ya samatta na mwanamke mmoja anayeitwa kidawa,hii kitu ni kidawa aliyeratibu na kuiuza katika magazeti ya kibongo ili apate headline awe maarufu kwa kuwa wa kwanza kutoka kimapenzi na samatta baada ya kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa duniaSAMATTA ADAI KUTENGENEZEWA SKENDO, AELEZEA HAPA JINSI ILIVYOKUWA | Mtembezi soma hap ujionee jinsi samatta alivyokanusha kwa ushahidi taarifa za skendo aliyosambaziwa na kidawa.

Hivyo mkuu,hawa dada zetu hapa bongo wanapenda kuishi maisha tofauti na uhalisia wao moja,mbili wanapenda umaarufu mavi kufuatwa na nzi kila mda,tatu inawabidi wafanye hivyo kwa kuwa bila hivo hawaishi,kwa maana ya kupitia hivo ndivyo wanavyoweza kupata pesa za kujikimu,nne ukichunguza maisha yao kiundani utatamani kulia,kwani wasanii wote kwa ujumla hawajiwezi kimaisha ila inawabidi tu kwa kuwa wanaonekana kideoni na vitu kama hivyo.

NAWAKILISHA AKILI ZANGU TATU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…