Kuna kitu kinachochea maendeleo ni muhimu sote kufahamu

Kuna kitu kinachochea maendeleo ni muhimu sote kufahamu

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Tufanye hivi Uingereza na Waingereza hapa utakuta
  • U.K
  • Canada
  • Australia
  • New Zealand
  • U.S
Pia Uchina na wachina hapa utakuta
  • China
  • Hong-Kong
  • Macau
  • Taiwan
  • Singapore
Hapa tunaweza weka mjumuisho mwengine mkubwa wenye maana kama tukihitaji uelewa zaidi China, Japan, Korea maana hizi ni jamii mfanano kwa mambo mengi.

Nini nachotaka tutafakari sote kwa pamoja?

Wenda maendeleo yanahusisha baadhi ya mambo ambayo yatupasa sisi kufahamu ili tutoke hapa tulipo tusonge na wenda ndio hayo hayo mambo yanayo tufanya sisi tuwe hapa tulipo.

Sioni kama hii ni hali ya kawaida kwa jamii fulani kufanya maendeleo makubwa iwe ipo ndani ya nchi yake ama hata nje ya nchi yake.

Kwa utafiti mdogo hizo jamii baadhi hapo juu nilizo jaribu tolea mfano hata zikikabidhiwa baadhi ya maeneo au nchi hapa barani Afrika kwa mfano kwa kipindi fulani zinaweza kufanya kile kile walicho pelekea kuendelea maeneo waliyotoka.

Ni muhimu kufahamu sote kwa pamoja ni nini hasa kichochezi cha maendeleo katika jamii na kitu gani kinatuweka hapa tulipo?
 
Hicho kitu ni kitu gani mbona maelezo mengi yasio na content au na wewe umeshindwa so unatupa homework sisi
 
Hicho kitu ni kitu gani mbona maelezo mengi yasio na content au na wewe umeshindwa so unatupa homework sisi
Kuna alama za kuuliza. Sote tunaweza tafakari nini hasa kichochezi cha maendeleo katika jamii hizo za mfano na kwetu pia kipi kifanyike
 
Hicho kitu ni ELIMU SAFI NA SIASA SAFI.
 
Hicho kitu ni ELIMU SAFI NA SIASA SAFI.
"Elimu safi" sawa, kwa hiyo tunakosa elimu safi ? Weka vizuri elimu safi kama ipi ?

"Siasa safi" hapa maelezo yanahitaji maana napata ukakasi mkubwa siasa safi zipi walizokuwa nao na walizo nazo ambazo sisi tumekosa ?
 
Back
Top Bottom