Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,218
- 3,481
Toa pesa mtafune.... Kula time
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli ila hata biashara wanapaswa kutumia akili kidogo!Ndugu yangu, siku hizi mapenzi yamegeuzwa biashara kwa asilimia kubwa
Ndicho kilichobaki!Toa pesa mtafune.... Kula time
#Bakinahamuzakoyaani hii kitu nimeshindwa kuielewa kabisa kwa dada zangu na hapa Haina mwajiriwa Wala mdangaji, na naona kwa Sasa ni kwa Rika zote!
Inakuwaje utongozwe na ndani ya siku mbili Kila shida iliyopo duniani umwambie aliyekutongoza, hivi atawaza mapenzi nawe au shida ulizokuwa Nazo na hapo hapo unataka kukojozwa,
Au yananikuta Mimi tu Nini?
SureNi vile tu umejiweka kimkakati Mkuu, wewe usiangaike na mwanamke utajionea maajabu sana.
Dawa ya mwanamke ni kutoangaika naye, wewe kuwa bize na mambi yako, tengeneza pesa yako itumie wewe na familia/marafiki zako kifupi jipende.
Ukizijua tabia za paka umemjua mwanamke.
Nimekusoma na Nina amini wapo ila Wachache sana,Hivi hiyo research yako umeifanya kwa wangapi hadi uje na hiyo conclusion kwamba "wanawake " tena umesema rika zote wanapenda pesa? Hamna wastaarabu wanaojitafutia pesa zao wenyewe? Why umegeneralize?
Kingine inategemea wewe mwanaume umeanza vipi kumtongoza mdada wa watu, kuna baadhi yenu mnaanza kwa sifa na kujionesha unapesa, yaani kama unatanguliza kumwonyesha una pesa na siyo upendo, hii inapelekea mdada aone kama kwako hamna upendo ni pesa tu.
Pia mtu kukuomba pesa sana siyo dalili nzuri, yaani ni mbinu ya kukukimbiza ikiwa hakupendi na unamng'ang'ania anaona bora akutangazie shida zake hadi ukimbie mwenyewe.
Kwa sisi wadada kama unampenda mtu na una malengo naye trust me huwezi kumsumbua kumuomba omba hela yaani unakua na huruma na pesa ya mwenzi wako.
So jichunguze na ubadilike mkuu,wadada wastaarabu wapo wengi tu.
Kumuhudumia mwanamke Hilo halina shida ila Kuna mazingira unaombwa Hela mpaka unashangaa huu bila kuwa na mimi alikuwa anaishi vipiTafuta tu hela ndugu yangu acha kulalamika hizo shida ni za kawaida au ulidhani ukimtongoza mwanamke akakubali imeisha hukujua kama kuna kumpa hela😁😁
Ni kweli mkuu kama mtu hakupendi anakupiga vizinga hadi ukimbie then atakupa sababu kwamba ulikimbia mwenyewe na siyo yeye kukukataa. Mbinu hiyo inafanya kazi, sorry to tell you this ila ndiyo ukweliNimekusoma na Nina amini wapo ila Wachache sana,
Hilo la mwanamke akikuomba Hela hovyo hakupendi linaweza kuwa la ukweli kabisa!
Nimekuelewa sana, ila hata kama mtu ana shida kweli basi apunguze haraka ya kuzitangaza shida zake!Ni kweli mkuu kama mtu hakupendi anakupiga vizinga hadi ukimbie then atakupa sababu kwamba ulikimbia mwenyewe na siyo yeye kukukataa. Mbinu hiyo inafanya kazi, sorry to tell you this ila ndiyo ukweli
Inategemea na umemuendeaje , ukimuendea kama una pesa sana hapo hapo nywele zinafumuka(hela ya saloon) , gas home inaisha, na kodi inaisha hapo hapo😂😂Nimekuelewa sana, ila hata kama mtu ana shida kweli basi apunguze haraka ya kuzitangaza shida zake!