Kuna Klabu Tanzania ilijipanga Kuharibu CAFCL ili iangukie CAFCC ibahatishe kama ilivyobahatisha 2022/2023

Pamoja braza popoma


Kiukwel kaf wameupiga mwingi
 
Yamekuwa hayo tena???


Kwamba unaipenda mno utopolo mpaka ikiambiwa ukwel unatishia kuua???


Nitaongea na braza popoma awapunguzie dozi
 
Kumbe huwa unamchokoza mwenyewe,kwenye ule uzi unamlalamikia nilukuunga mkono,ila kwa namna hii unamchokoza,usidhani atabaki kimya kwa hulka yake so vumilia tu.
 
Huna akili master
 

Attachments

  • 20230707_113724.jpg
    33.7 KB · Views: 2
Wana muonea wivu mwenzao kachukua Tuzo ya jukwaa la michezoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mioyoo inawaumaa mnoo.
Wanavyomchukia ndiyo wanavyozidi kumfanya awe Maarufu na apendwe na Watu hapa JamiiForums.
 
Nyie ndio mliwafundisha mlivyo jilegeza kwa Juaneng Galaxy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…