GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na ole Wenu Watangazaji wa Vipindi vya Michezo vya Redio nchini Tanzania Kesho Jumatano tarehe 12 January, 2022 ( Mapinduzi Day ) misiwasikie mkiizugumzia hii kwani imeshaenea na Kusambaa mno huko Isles ( Zanzibar )
Na yawezekana Wachezaji wake wengi ( hiyo Klabu ambayo GENTAMYCINE bado sijaijua ) waliamua Kujikita zaidi katika Kuiba Mito ya Hotelini waliyokuwepo kwakuwa Klabuni Kwao wana utajiri mkubwa ( bwerere kabisa ) wa Magodoro na Foronya zake.
Kuhusiana na Wachezaji wake kusemekana Kuchafua Maliwato ( Vyoo ) vya hiyo Hotel waliyofikia sana sijashangaa sana kwani wana Mchezaji wao Mmoja Mhutu na kwa jinsi alivyokuwa akikimbia Kiupande upande dakika zote 90 za Jana najua nae hakosi katika Lawama hii.
Kwa wale Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam hasa wa Kinondoni Studio, Mwananyamala na Mikocheni B kwa Warioba ambapo Wakongo wamejazana na mi Wachafuzi Waandamizi ( Wakubwa ) wa Vyoo ( Maliwato ) hivyo mtakubaliana nami jana akina Morocco Hoteli, Bangaloo Langu, Maukoko yangu na Makambako kwetu nao walihusika katika Kuvichafua.
Kuhusu Wezi wa Mashuka wala hawasumbui Kuwajua kwani kwa jinsi Watu Wawili jana Mmoja aliruka bila Mafanikio mara Tisa ( 9 ) na Mmoja alidhamiria Kutungua Madafu ya pale Jirani na Amaan Stadium kwa Mpira alioupiga kwa Jazba ( Hasira ) kutokana na Bange / Bangi zake alizozivuta kwa Kunuia.
Mwizi wa Sabuni hasumbui sana Kujulikana kwani wana Mkenya wao Mmoja aitwae Raha za Kisiwani ana Matege ya Mbanio wa Sufuria la Pilau hivyo najua ndani ya Truck Suit yake ambayo muda mwingi huws inatuna ( inavimba ) atakuwa ameiba na Kuficha humo hata Katoni Tatu za Sabuni ili zingine akampunguzie Swahiba na Boss wake pia Kamikaze Mikofia kusudi zingine awe anazitumia kupigia Nyeto.
Tafadhali wenye hiyo Hotel washtakini!!
Na yawezekana Wachezaji wake wengi ( hiyo Klabu ambayo GENTAMYCINE bado sijaijua ) waliamua Kujikita zaidi katika Kuiba Mito ya Hotelini waliyokuwepo kwakuwa Klabuni Kwao wana utajiri mkubwa ( bwerere kabisa ) wa Magodoro na Foronya zake.
Kuhusiana na Wachezaji wake kusemekana Kuchafua Maliwato ( Vyoo ) vya hiyo Hotel waliyofikia sana sijashangaa sana kwani wana Mchezaji wao Mmoja Mhutu na kwa jinsi alivyokuwa akikimbia Kiupande upande dakika zote 90 za Jana najua nae hakosi katika Lawama hii.
Kwa wale Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam hasa wa Kinondoni Studio, Mwananyamala na Mikocheni B kwa Warioba ambapo Wakongo wamejazana na mi Wachafuzi Waandamizi ( Wakubwa ) wa Vyoo ( Maliwato ) hivyo mtakubaliana nami jana akina Morocco Hoteli, Bangaloo Langu, Maukoko yangu na Makambako kwetu nao walihusika katika Kuvichafua.
Kuhusu Wezi wa Mashuka wala hawasumbui Kuwajua kwani kwa jinsi Watu Wawili jana Mmoja aliruka bila Mafanikio mara Tisa ( 9 ) na Mmoja alidhamiria Kutungua Madafu ya pale Jirani na Amaan Stadium kwa Mpira alioupiga kwa Jazba ( Hasira ) kutokana na Bange / Bangi zake alizozivuta kwa Kunuia.
Mwizi wa Sabuni hasumbui sana Kujulikana kwani wana Mkenya wao Mmoja aitwae Raha za Kisiwani ana Matege ya Mbanio wa Sufuria la Pilau hivyo najua ndani ya Truck Suit yake ambayo muda mwingi huws inatuna ( inavimba ) atakuwa ameiba na Kuficha humo hata Katoni Tatu za Sabuni ili zingine akampunguzie Swahiba na Boss wake pia Kamikaze Mikofia kusudi zingine awe anazitumia kupigia Nyeto.
Tafadhali wenye hiyo Hotel washtakini!!