Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Arusha napo wamekata usiku huuHii nchi ni kama ina laana hivi. Umeme unakatika hovyo sana
Majenereta yamerudi kwa kasi kariakoo. Huku mitaani wanakata hadi usiku
Kama mbu wa kwenye JUMANJI wanatoboa mpk kioo cha gariMmbu wa dar wanauma paka kisigino[emoji23]
Huyo panya aliekula waya sijui yuko katika hali ganiKama mbu wa kwenye JUMANJI wanatoboa mpk kioo cha gari
Kuna TATIZO KWENYE GRID YA TAIFA
panya kala waya
Makongo juu ccm umekatika muda sio mrefu hapalaliki joto tuHii nchi ni kama ina laana hivi. Umeme unakatika hovyo sana
Majenereta yamerudi kwa kasi kariakoo. Huku mitaani wanakata hadi usiku