Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washenzi hawa mbwa kabisa Kila siku gridi ya taifa imagine mchana unaumia na joto la dar usiku unasema upumzike wanaamua kukata umeme na imekuwa kama mazoea siku hizi shenzi kabisa hawa..Naona Tanesco wametoa Tangazo. Shida ni nchi mzima ...
Dodoma umeme umekatika tangu saa Sita usikuMwanza
Makaa ya mawe ya liganga na mchuchuma kwanini tusiyatumie?!kadogosa kaona mbaliii
View attachment 3179206
Nakazia kabisaaaa, tena umbwa wa kizungu kabisaWashenzi hawa mbwa kabisa Kila siku gridi ya taifa imagine mchana unaumia na joto la dar usiku unasema upumzike wanaamua kukata umeme na imekuwa kama mazoea siku hizi shenzi kabisa hawa..
Si nasikia dom umerudi? Au bado?Dodoma umeme umekatika tangu saa Sita usiku
Huyu Mama kwa kweli kashindwa kuliongoza hili taifaHii nchi ni kama ina laana hivi. Umeme unakatika hovyo sana
Majenereta yamerudi kwa kasi kariakoo. Huku mitaani wanakata hadi usiku
Tupo kizani yaheee ...tatizo ni mzanzibar mpumbavuHii nchi ni kama ina laana hivi. Umeme unakatika hovyo sana
Majenereta yamerudi kwa kasi kariakoo. Huku mitaani wanakata hadi usiku
Hata mwanza ilikuwa ni saa 6Dodoma umeme umekatika tangu saa Sita usiku
Arusha wamekata saa nane usiku wamerudisha asubuhi hii.Huu umeme umekatika nchi nzima usiku huu ama vp maana hata kibaha umekata mida hii
Dodoma umeme umekatika tangu saa Sita usiku