Ighombe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 1,181
- 675
Wadau kumeibuka tabia siku hizi ya kuwalaumu walimu kuwa walifeli mitihani kwa ngazi zote form four kwa wale wa shule za msingi na form six kwa wale wa sekondari.Siku hizi hata watoto wadogo wanarusha madongo kwa walimu. Hivi ni mapungufu ya walimu wetu au mfumo m,bovu wa nchi yetu wa maandalizi chekechea hadi chuo kikuu?(Karibuni tujadili) kwa kufuata vigezo vifuatavyo-:
(1) Epuka lugha ya kejeli
(2)Epuka kuchangia usi-
Chokijua kwa kuzi-
Ngatia kuwa hili ni-
Jukwaa la weledi.
(1) Epuka lugha ya kejeli
(2)Epuka kuchangia usi-
Chokijua kwa kuzi-
Ngatia kuwa hili ni-
Jukwaa la weledi.