Kuna ma Star na kuna Shahukh Khan

Kuna ma Star na kuna Shahukh Khan

Siwezi kufanya upumbavu kama huo hata siku moja
Ilimradi tu tukuone Mwamba hapa🚮.
Hiyo ni upendo na heshima. Ni sawa na kuamka asubuhi na kumuangalia mtoto wako alivyo vizuri, ni upendo huo. Moyo wa mwanadamu umeumbwa kupenda kitu na kukisujudu. Hao wanampenda mwamba, mwenzako anakwambia bwana diamond anapita nje, aaanh na mimi acha nikamuone. Ndio hiyo.
 
Kibongo bongo chawa zake wangeshamwambia agombee uraisi kwa nyomi hilo ila India watu ni wengi kama sisimizi
 
Ilimradi tu tukuone Mwamba hapa🚮.
Hiyo ni upendo na heshima. Ni sawa na kuamka asubuhi na kumuangalia mtoto wako alivyo vizuri, ni upendo huo. Moyo wa mwanadamu umeumbwa kupenda kitu na kukisujudu. Hao wanampenda mwamba, mwenzako anakwambia bwana diamond anapita nje, aaanh na mimi acha nikamuone. Ndio hiyo.
Kama wewe unaona huo upuuzi ni heshima kwangu naona ni upumbavu kama upumbavu mwingine tuu 🚮🚮
 
Daaah huyu jamaa namkubali kinyama siku akosee njia atue Tanzania nitalikimbiza gari lake kutoka Airport mpaka hotelini.
Bollywood kab-dsha #Kingkhan
#Darr#JaaduterNazar#Srk#
 
Back
Top Bottom