Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameliwa.Vya mgema...Kula chuma icho ila all ccm lazima kuondoka madarakani ,uchaguzi ukifanyika, shida naiona ikiwa hivi pikipiki za mama itakuaje
Aaaaaagh!! Wote tunajua hilo Bwashee! Kaa kimyaaaKarma Is real mwaka 2025 kutakuwa na mgombea Urais kupitia CCM mpya, kutakuwa na mgombea Mwenza mpya kutakuwepo na timu mpya ya kampeni za mgombea Urais mpya
Nnauye Moses Nape ana kiburi cha kubebwa asahau kwa sababu mgombea Urais mpya hatamhitaji Nape Moses Nnauye and the go likes
Kwa sababu amebweteka na kutegemea kubebwa atapigwa pigo takatifu kwenye sanduku la kura .
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
- Mitandao ya simu inapaswa kutoa ufafanuzi hii kauli ya Nape haitakiwi kupuuzwa hata kidogo
Hapo penye katiba hapo ndo umekosea, sisi chama chetu hatuhitaji katiba maana tunajua madhara yake. Tunajua pasina na shaka kuwa tukibadili katiba kuna uwezekano wa asilimia zaidi ya 90 ya sisi kushindwa kwenye uchaguzi unaofuata baada ya mabadiliko hayo. Nani achimbe shimo litakalomtumbukiza yeye mwenyewe? Wewe ungeweza? So sisi tutaendelea kucheza danadana swala la katiba mpaka hapo atakapopatikana huyo mpumbavu atakaejiamini kuonja sumu kwa ulimi wake mwenye😛😛😛😛Napingana na Chama Changu CCM kwenye maeneo mengi!
Napingana na Rais wangu Samia kwenye maeneo machache sana!
Ila 2025 ni maoni yangu Rais Samia aendelee kushika kijiti cha CCM.
Anachohitaji Rais Samia ni timu ya watu smart kweli wanaoijua Dunia ipo wapi na inaenda wapi? Wenye uchungu wa kuiona Tanzania ikiwa Powerhouse economically kwa Afrika na ikiitikisa Dunia!
Kwa Tanzania sasa tunachohitaji cha kwanza ni Katiba bora inayosimika mifumo imara ya kuendesha na kusimamia nchi. Inayoweka mipaka kwa wanasiasa
Tanzania tunaishi kwa maono ya Rais lazima tuwe na mifumo imaraNapingana na Chama Changu CCM kwenye maeneo mengi!
Napingana na Rais wangu Samia kwenye maeneo machache sana!
Ila 2025 ni maoni yangu Rais Samia aendelee kushika kijiti cha CCM.
Anachohitaji Rais Samia ni timu ya watu smart kweli wanaoijua Dunia ipo wapi na inaenda wapi? Wenye uchungu wa kuiona Tanzania ikiwa Powerhouse economically kwa Afrika na ikiitikisa Dunia!
Kwa Tanzania sasa tunachohitaji cha kwanza ni Katiba bora inayosimika mifumo imara ya kuendesha na kusimamia nchi. Inayoweka mipaka kwa wanasiasa
Hicho ndicho kinachosemwa na wengi mno!!Karma Is real mwaka 2025 kutakuwa na mgombea Urais kupitia CCM mpya, kutakuwa na mgombea Mwenza mpya kutakuwepo na timu mpya ya kampeni za mgombea Urais mpya
Nnauye Moses Nape ana kiburi cha kubebwa asahau kwa sababu mgombea Urais mpya hatamhitaji Nape Moses Nnauye and the go likes
Kwa sababu amebweteka na kutegemea kubebwa atapigwa pigo takatifu kwenye sanduku la kura .
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
- Mitandao ya simu inapaswa kutoa ufafanuzi hii kauli ya Nape haitakiwi kupuuzwa hata kidogo
.Karma Is real mwaka 2025 kutakuwa na mgombea Urais kupitia CCM mpya, kutakuwa na mgombea Mwenza mpya kutakuwepo na timu mpya ya kampeni za mgombea Urais mpya
Nnauye Moses Nape ana kiburi cha kubebwa asahau kwa sababu mgombea Urais mpya hatamhitaji Nape Moses Nnauye and the go likes
Kwa sababu amebweteka na kutegemea kubebwa atapigwa pigo takatifu kwenye sanduku la kura .
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
- Mitandao ya simu inapaswa kutoa ufafanuzi hii kauli ya Nape haitakiwi kupuuzwa hata kidogo
Unamaanisha Nape ataufa?mgombea Urais mpya hatamhitaji Nape Moses Nnauye and the go likes
Naunga mkono hoja kuhusu watu smart na ameanza na huyu Asante Rais Samia Kutuletea Prof. Kabudi Pale Sheria, Ni Best Brain, High IQ.na Bingwa wa Katiba. Je Atakuwa Mkweli Ubatili wa Katiba na Sheria au?. kushughulikia hilo la katibaIla 2025 ni maoni yangu Rais Samia aendelee kushika kijiti cha CCM.
Anachohitaji Rais Samia ni timu ya watu smart kweli wanaoijua Dunia ipo wapi na inaenda wapi? Wenye uchungu wa kuiona Tanzania ikiwa Powerhouse economically kwa Afrika na ikiitikisa Dunia!
Kwa Tanzania sasa tunachohitaji cha kwanza ni Katiba bora inayosimika mifumo imara ya kuendesha na kusimamia nchi. Inayoweka mipaka kwa wanasiasa