STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Utamsikia
Demu>''Kwa hiyo we STUNTER Unanitaka Mimi'
STUNTER>Ndio nakupenda kweli baby
Demu>'Hivi uliniambia umeachana na mpenzi wako
lini vile'
STUNTER>Mwezi wa 2 katikati
Demu>Itakuwa wewe ndo Mkorofi umemchezea
mtoto wa watu ukamuacha, unaonekana tu una sura
ya ukorofi
STUNTER>Hapana, Yeye ndo aliniacha kisa sina hela
Demu>'Kwahiyo Tangu mwezi wa Pili mpaka leo Upo tu Unaishije, Nipe sababu 8 kwa nini uko SINGLE'
STUNTER>Eboo! Niko SINGLE kwa Sababu Sijatoa
ALBUM!
Demu>''Kwa hiyo we STUNTER Unanitaka Mimi'
STUNTER>Ndio nakupenda kweli baby
Demu>'Hivi uliniambia umeachana na mpenzi wako
lini vile'
STUNTER>Mwezi wa 2 katikati
Demu>Itakuwa wewe ndo Mkorofi umemchezea
mtoto wa watu ukamuacha, unaonekana tu una sura
ya ukorofi
STUNTER>Hapana, Yeye ndo aliniacha kisa sina hela
Demu>'Kwahiyo Tangu mwezi wa Pili mpaka leo Upo tu Unaishije, Nipe sababu 8 kwa nini uko SINGLE'
STUNTER>Eboo! Niko SINGLE kwa Sababu Sijatoa
ALBUM!