Kuna madhara gani mwanamke akinyoa nywele za ukeni kwa kutumia 'Magic'?

Niasaidie Kama unaijua moja[emoji26]
veeto yoyote tu ya sensitive skin haitakusumbua coz hata mimi ngozi yangu haikubaliani na vitu kirahisi, hakikisha imeandikwa kwenye box kuwa ni ya sensitive skin plus expiring date
 
Ndoa hizi!!!
 
Je Magic upo uwezekano wa kutoa mvi sehemu hizo?
 
Ukiichukulia Jamii Forum serious utapata stress mkuu
 
kupata like yangu ni sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…