Kuna madhara gani mwanamke akinyoa nywele za ukeni kwa kutumia 'Magic'?

Akinyoa atumie tuu topaz ila asijikwangue saana kuepuka vipele akimaliza apake baby powder au mafuta ya nazi kidoogo atakuwa mtam na kujifeel more comfortable...hayo ma wax cjui manini yatamfanya awe na ngozi ya nungunungu bure kwasababu kule kuko very delicated hakutaki mushkeli.
 
Mkuu mkeo hafugi chawa kweli???

From Sir Korojani
 
Tatizo unawaza ngono mkuu. nazungumzia mashavu ya usoni..teh
Acha tu niwaze mkuu...yaani utaje mashavu ya huko chini then nisiwaze?

Mi nikiona K...imejaa nywele za kutosha hadi mashavuni lazima niziote.
 
Acha tu niwaze mkuu...yaani utaje mashavu ya huko chini then nisiwaze?

Mi nikiona K...imejaa nywele za kutosha hadi mashavuni lazima niziote.
Kwenye kwapa je?
 
Tumieni mashine kunyoa, haileti vipele wala kuifanya ngozi kuwa ngumu. Kutumia hizo chemical ni msala, iko siku papuchi itanza kutoa harufu za ajabu ajabu.
Mkuu ni mwaka wa kumi huu ninaitumia hakuna harufu wala bibi yake. Ninafanya angalau mara moja kwa mwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…