Kuna madhara gani mwanamke akinyoa nywele za ukeni kwa kutumia 'Magic'?

Kuna watu aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
......"kaka sawa"......."kwako sawa"......"mstaarabu sawa".... Wewe ni Mhehe usiyependa mzaha wala utani. Umetengeneza redandance za kumwaga kwakuwa umeandika umeghadhabika na saazingine unalia.
Mambo ya kupiga gumzo na dunia yakupasa uvumilivu usiohojika.
Vinginevyo humu mama yangu kuna mafyatu zaidi ya wendawazimu, maadalili kwao ni msamiati ama kitendawili kilichokosa majibu. Pole sana.
 
Sijawahi kutumia mkasi. Nimepata tu picha kwamba zitakuwa zinachoma choma. Tupe experience raha ya kuchomwachomwa..mi sijui
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] ungetry once utajua..na siwezi kukuelezea coz vyaelezeka kwa practically tuu[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah! bora umemwambia hivyo maana baadhi ya wanaume wenzangu humu wakimuona mdada yuko kwenye JF wana-conclude kua ni mhuni kama baadhi ya wanawake walivyo.Pole sana dada,yaani ungekua unayomuuliza ni mubashara,hakika angekua katika wakati mgumu kukujibu.LAKINI ULIYOYAANDIKA UMAANISHE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dorris katoa povu si la nchi hii, kwa namna unavyoipenda papuchi yako hata Mimi ninatamani kuiona ila usinitumie kwa sasa hivi, mpaka ukiwa willing

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…