Kuna madhara yoyote damu ya hedhi ikiingia kinywani kwa bahati mbaya?

Kuna madhara yoyote damu ya hedhi ikiingia kinywani kwa bahati mbaya?

Halafu mzee issue kama hiyo unacheka ina maana umefurahi mimi kufa au sio nilitegemea labda utakuja kunishauri hatua za kuchukua kuepukana na madhara yoyote yatakayoweza kujitokeza ila wewe umekuja hapa kufurahia kifo changu but sawa nitakufa kama ni hivo ambavyo Mungu alipanga kifo changu kiwe
Tulia mkuu sicheki kwasababu umekula ila ujasiri uliokuwa nao mkuu yaan mpaka ukaila nawaza Hapa ilikuwaje kuwaje yaan ukusikia ata harufu...
 
Iv bado uyu jamaa yupo hai, embu atuambie anajisikiaje saiv tuanze Mpa ushauri kabla hajakata moto
 
Back
Top Bottom