Kuna mahala Simba SC tunakosea

Mashabiki wa Utopolo Luc hakukosea kuwaita kua mnaropoka ka manyani.
Huo usajili wa kimataifa ndo unakuaje?
 
Nje ya Tanzania ni 5 kama kawa
 
Hahahaha we jamaa umenichekesha kinoma. Eti mmeanza na ame na kameta. yaani hao ndio wakupunguza zile 5?
Ni kweli kabisa kupunguza magoli ugenini ni swala la mbinu tu. Unafikiri hao Al Ahly wana beki nzuri sana? Wanachofanya ni kuwa compact ugenini, sio kufunguka kama alivyokuwa anafanya Aussems.

Na kuonesha ubovu wa kocha alikuwa anachezesha strikers wawili ugenini wakati timu inashambuliwa almost 70% ya muda wa mchezo. Sasa hiyo ni akili au matope?
 
Kama Simba tunawaza kuhusu hizo klabu kubwa mbona sijawahi kumuona Manara akiongelea habari za mpira wa kimataifa? Kila siku anarumbana na mashabiki wa Yanga.

Hivi kweli Simba ipo serious?
 
TFF wako upande wa Mikia kuiumiza Yanga. Hili jambo mwisho wake ni CAS.
Hakika huko ndiyo mwisho wa mchezo, na kikao cha TFF na wahusika wa simba na yanga ndiyo moto utakapo waka.
 
Senzo leo ndiyo anaenda kumwaga siri zenu zote pale TFF
Simba haijaitwa TFF. Wanaoshtakiana ni Yanga SC na Morrison. Au pengine hujui kesi ya msingi ni nini
 
Reactions: Tui

Una cheti cha ukocha lakini.

ni sawa na doktakushauri mgonjwa ameze 2 kutwa mara 1...wewe una sema ameze 1 kutwa mara 2.
 
Kulia atakimbiza Morrison, Kushoto atakimbiza Miquosone. Sub Deo Kanda, Sub Kahata. Hapo hamna hamna mpaka half time Al Ahly 0-4 Simba, Tena tuko away Misri hapo.
unaota wewe . . Yaani Al Ahly umfunge goli nne kwake ? Hata kina Wydad Casablanca na Raja Casablanca hawawezi. Endelea kuota tu
 
4G sio dozi ya mchezo.Utopolo bado wanabweka. Mbwa wenye vichaa dawa yao risasi 4 za kichwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…