Uchaguzi 2020 Kuna mahali CCM ilikosea?

Nindi rais yupi aliruhusu magazeti ya Dar Leo na Alasiri. Awamu hii kimetokea nini
 
Kunyima watu haki ya kuishi uhuru wa kuwaza tofauti, kukusanyika, kufanya mambo yao bila uoga na hofu watakupinga tu.
 
Kaka ilosioswali kaka angalia kwa wavuvi tu unakutwa na chombo chako kinataratibu zote zinazotakiwa alafu mtu kwa tamaa zake nakujidaia madaraka anasema leteni pesa kama hamna pesa nazichoma mm nimetumwa pesa nimeambiwa kama huna pesa nichome
Naapa nilipo simsikilizi yoyote awe mkuu wawilaya au mkuu wamkoa ninawasikiliza waziri na rais tu ndiowalionituma onajamaa alivyo tufilisi kwa tamaa ilitumuabudu mungu atamuonyesha roho inaumasana
 
Ilikosea kila kona, hasa Kawe kumteua Gwajima
Kupitisha sheria kandamizi kwa wananchi kama sheria ya vyombo vya habari, sheria ya takwimu na sheria ya vyamana vya siasa huku wao wakikazana kujiwekea kinga.

Sasa kama unafanya kitu sahihi na unajiamini Kuna haja gani ya kupambana kujiwekea kinga ili wasiwajibishwe?
Huku ni kujifanya miungu watu na TUNAKATAA.
 
Kiongozi yeyote anayejifanya Mungu ni lazima aanguke , Magufuli aliwaambia wajumbe wa Kamati kuu ya ccm kwenye kikao kilichofanyika ikulu kwamba " Waacheni waliolemewa na mizigo waje kwangu nami nitawapumuzisha " hapa alizungumzia wale wabunge na madiwani waliojiuza kwa bei rahisi na kuhamia ccm , kauli hii ilikuwa ya kujitafutia laana kutoka kwa Mungu .

Watu wote wenye akili timamu walijitenga na awamu hii , wengi waliobaki walikuwa wenye madaraka na wachumia tumbo , baada ya kugundua kwamba wenye akili wamejitenga ndio ukaasisiwa mtindo mpya wa kishamba wa Kudukua simu za watu ili kujua wanachoongea baada ya kujitenga .

Kwa ujumla mbinu mbovu za viongozi duni wa ccm makao makuu wakiwemo Bashiru na Polepole kumeangamiza ccm , viongozi hawa kwa bahati mbaya sana waliamini wana akili kuliko Watanzania wote nchi nzima , kitu ambacho ni kichaa pekee anayeweza kufikiri hivyo
 
Unasikia mtawala anasema mimi sipangiwi !.
Sasa hivi anapiga magoti πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ watanzania sio watu wazuri

Yule baba jinsi anavyopenda visasi kwakuwa watanzania mmempigisha magoti akirudi ikulu laza awarushe watanzania wote vichura chura ....tujiandae tu kisaikolojia πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Yaani kama hii issue ya kuzuia mabango daahhh !!!! Inadhihirisha kabisa kuwa jamaa wanaroho za kichawi ma hawana nia njema na Watanzania ...haiwezekani raia wa nchi 1 wengine wakawa wanawabagua wenzao na kuwatesa kiasi hiki .....siku ccm ikiondoka madarakani nitatembea kwa miguu dar mpaka moro kwaajili ya furaha mitakayo kuwa nayo
 
Ngongo kuna 'mahali' gani CHADEMA yako ilipatia?

Kwanza CHADEMA haijawahi kuwa yangu labda itakuwa yangu sasa kwasababu inahubiri habari ya haki,uhuru na maendeleo.

CHADEMA mwaka 2015 ilikosea kumsimamisha mgombea aliyeshindwa kutetea ilani ya chama chake.Mbaya zaidi alijiunga CHADEMA kwakuwa alipewa nafasi ya kugombea uRais.

Uchaguzi huu 2020 mgombea ana uwezo mkubwa wa kujieleza na kufafanua mambo mbali mbali ambayo mgombea wa CCM kakosea eg ujenzi wa Chato International Airport,Fao la kujitoa,Uhuru wa kukutana na kutoa mawazo mbadala,Undugunization katika teuzi mbali mbali eg Katibu Mkuu Hazina.
 
'Mnafiki' huwa 'hajifichi' halafu ni mwepesi sana Kugundulika / Kujulikana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…