Kuna mahusiano gani kati ya ibada na uwepo wa mishumaa?

Kuna mahusiano gani kati ya ibada na uwepo wa mishumaa?

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Wengi wetu tumekuzwa tukishuhudia mara kadhaa mishumaa ikiwekwa moto katika vipindi mbali mbali vya ibada.

Jambo hili limekuwa likifanyika katika ibada za imani tofauti tofauti duniani tangu enzi na enzi.

Lakini, si wote wanaweza kujua ni nini hasa maana yake, na wengine wamezoea kufanya hivi kama mazoea tu bila kujua kwa nini huwa iko hivyo.

Je, kuna historia yoyote ya jambo hili? Au kama kuna yeyote mwenye uelewa wa hili tendo, tafadhali usisite kutuelimisha! Karibu.

images (2).jpeg
 
Wengi wetu tumekuzwa tukishuhudia mara kadhaa mishumaa ikiwekwa moto katika vipindi mbali mbali vya ibada.

Jambo hili limekuwa likifanyika katika ibada za imani tofauti tofauti duniani tangu enzi na enzi.

Lakini, si wote wanaweza kujua ni nini hasa maana yake, na wengine wamezoea kufanya hivi kama mazoea tu bila kujua kwa nini huwa iko hivyo.

Je, kuna historia yoyote ya jambo hili? Au kama kuna yeyote mwenye uelewa wa hili tendo, tafadhali usisite kutuelimisha! Karibu.

View attachment 3102883
SAY NO TO RAPE : Incidents of sexual violence, particularly rape and defilement against students, have been on the rise in various areas
 

Attachments

  • 20240922_105819.jpg
    20240922_105819.jpg
    91.6 KB · Views: 2
  • 20240922_105805.jpg
    20240922_105805.jpg
    134.3 KB · Views: 3
  • 20240922_105753.jpg
    20240922_105753.jpg
    96.6 KB · Views: 3
Mshumaa Ni symbol kubwa Sana Spiritually..
Inaashiria Illumination, Devine Light and Power..
Inaashuria Maagano, Mipango na hata Kazi..

Mshumaa ni nyenzo Pekee Inayoexists Kwenye 5 Element of Nature nazungumzia Air/Earth/Fire/Water To call upon Spirit which is Ether Elements..

Ni somo pana Sana Kuhusu Mshumaa maana Hapo Tunaweza tukaanza na kuzungumzia mpaka Rangi zake zinamaanisha nini na kwanini uchome mshumaa na wakati gani uchome mshumaa..

Ushauri usijichomee tu mshumaa kwa Sababu umeona Unauzwa Dukani bhasi ukanunua Mshumaa wako mweusi Ukawa unafanya meditation bhasi Ukauchoma..

Kuhusu Element Mshumaa hauwezi kuwaka Bila kuwepo kwa Moto (Fire Element), Mshumaa unapowashwa unayeyuka na Kutoa Ntaa kwa mfumo wa Maji kabla ya Kuganda "Hata utengenezaji wake maji uhusika pia" (Water element), Mshumaa ili uweze kuendelea kuwaka lazima kuwepo na Hewa ya Oxygen (Air element) na Mshumaa umetengenezwa Kutokana na Vitu mbalimbali vilivyotokana na Nta ambayo imetokana na Nyuki kikusanya Mazao na baadhi ya vitu kwenye Udongo (Earth element)..

Sasa Zikikutanaga Hizi Element 5 kwa wakati Mmoja ndo huwa Tunaita The early Power Of Manifestation

Mishumaa hutumika Kuita Spirit au Kucalm spirit au Kuvisit kwenye Spiritial worlds Tunaita (Ether World)..

Kuna mengin sana ya kuongea ila kuna wakati huwa ni vigumu kuyaweka wazi hadharani Labda kama ni kwa njia ya maswali ila sio kuyamwaga tu..

Ndo maana hata FREEMASON na ILLUMINATI huutumia Mishumaa ya rangi maalumu kwa Ritual Maalumu kwenye Pentagram..
Kuhusu Rangi ili naliacha pending maana ni swala la Frequencies..

Licha ya Kuwa na Power ya Kufanya Yote hayo mishumaa Pia ina nguvu ya Uponyaji ,Kulinda (Protection),Uumizaji na hata kutoa Athari endapo itatumika Kuspell baadhi ya Ritual..

Nataka Niwaulize Wakristo na wayahudi..

Kuna mtu anafahamu menorah (מְנוֹרָה)..
Ule Mshumaa Wenye Vinara saba uliokuwepo Kwenye Sanduku la Agano "The Tabernacle" nani anajua kazi yake??

Na kwani Vinara vile viliwekwa Kwenye sanduku Takatifu la Agano na kwanini hakuruhusiwa Mtu mwinginr isipkuwa Haruni na makuhani wengine?

images (27) (6).jpeg

Unaweza Ukasoma Pia kwenye Exodus 25:31–37; 37:17–24
Screenshot_20240922_154824_Bible.jpg


Na hata ukisoma mwanzoni kwabisa mwa kitabu cha Ufunuo pia utagundua Kitu..
Revelation 1:12-13
Screenshot_20240922_155727_Bible.jpg

Screenshot_20240922_155739_Bible.jpg


So labda kama kuna maswali ila Mshumaa Ni the Power of simple manifestation into Ether worlds If used Precisely Wise

CC:- min -me
 
Mshumaa Ni symbol kubwa Sana Spiritually..
Inaashiria Illumination, Devine Light and Power..
Inaashuria Maagano, Mipango na hata Kazi..

Mshumaa ni nyenzo Pekee Inayoexists Kwenye 5 Element of Nature nazungumzia Air/Earth/Fire/Water To call upon Spirit which is Ether Elements..

Ni somo pana Sana Kuhusu Mshumaa maana Hapo Tunaweza tukaanza na kuzungumzia mpaka Rangi zake zinamaanisha nini na kwanini uchome mshumaa na wakati gani uchome mshumaa..

Ushauri usijichomee tu mshumaa kwa Sababu umeona Unauzwa Dukani bhasi ukanunua Mshumaa wako mweusi Ukawa unafanya meditation bhasi Ukauchoma..

Kuhusu Element Mshumaa hauwezi kuwaka Bila kuwepo kwa Moto (Fire Element), Mshumaa unapowashwa unayeyuka na Kutoa Ntaa kwa mfumo wa Maji kabla ya Kuganda "Hata utengenezaji wake maji uhusika pia" (Water element), Mshumaa ili uweze kuendelea kuwaka lazima kuwepo na Hewa ya Oxygen (Air element) na Mshumaa umetengenezwa Kutokana na Vitu mbalimbali vilivyotokana na Nta ambayo imetokana na Nyuki kikusanya Mazao na baadhi ya vitu kwenye Udongo (Earth element)..

Sasa Zikikutanaga Hizi Element 5 kwa wakati Mmoja ndo huwa Tunaita The early Power Of Manifestation

Mishumaa hutumika Kuita Spirit au Kucalm spirit au Kuvisit kwenye Spiritial worlds Tunaita (Ether World)..

Kuna mengin sana ya kuongea ila kuna wakati huwa ni vigumu kuyaweka wazi hadharani Labda kama ni kwa njia ya maswali ila sio kuyamwaga tu..

Ndo maana hata FREEMASON na ILLUMINATI huutumia Mishumaa ya rangi maalumu kwa Ritual Maalumu kwenye Pentagram..
Kuhusu Rangi ili naliacha pending maana ni swala la Frequencies..

Licha ya Kuwa na Power ya Kufanya Yote hayo mishumaa Pia ina nguvu ya Uponyaji ,Kulinda (Protection),Uumizaji na hata kutoa Athari endapo itatumika Kuspell baadhi ya Ritual..

Nataka Niwaulize Wakristo na wayahudi..

Kuna mtu anafahamu menorah (מְנוֹרָה)..
Ule Mshumaa Wenye Vinara saba uliokuwepo Kwenye Sanduku la Agano "The Tabernacle" nani anajua kazi yake??

Na kwani Vinara vile viliwekwa Kwenye sanduku Takatifu la Agano na kwanini hakuruhusiwa Mtu mwinginr isipkuwa Haruni na makuhani wengine?

View attachment 3103320

Unaweza Ukasoma Pia kwenye Exodus 25:31–37; 37:17–24
View attachment 3103324

Na hata ukisoma mwanzoni kwabisa mwa kitabu cha Ufunuo pia utagundua Kitu..
Revelation 1:12-13
View attachment 3103334
View attachment 3103335

So labda kama kuna maswali ila Mshumaa Ni the Power of simple manifestation into Ether worlds If used Precisely Wise

CC:- min -me
Umemaliza kila kitu bro🙏
 
Back
Top Bottom