chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Unaweza kukuta mtu siku nzima kashinda na njaa na kupata chakula ni mara moja.
Kuna wengine hata uhakika wa msosi hana lakini huwezi kuona wanatetereka.
Ramadan ikifika wengi hulegea na wengine hujiona wanapitia kipindi kigumu cha mateso.
Hivi kwa ndugu zetu waislamu shida inakuwa nin?
Kuna wengine hata uhakika wa msosi hana lakini huwezi kuona wanatetereka.
Ramadan ikifika wengi hulegea na wengine hujiona wanapitia kipindi kigumu cha mateso.
Hivi kwa ndugu zetu waislamu shida inakuwa nin?