Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Kama mimi tuInashangaza Sana .
Mimi Mara nyingi huwa nakula mlo mmoja tu
Ahaaa mkuuKama mimi tu
Mkuu kushinda njaa bila kukusudia ni rahisi kuliko kushinda njaa kwa kukusudia. Mfano ukidhamiria kuwa nafunga ni kipengele. Au ushinde njaa kwa sababu huna chakula napo kipengele.Unaweza kukuta mtu siku nzima kashinda na njaa na kupata chakula ni mara moja.
Kuna wengine hata huhakika wa msosi utoshelezi lakini uwezi kuona wanateteleka.
Ramadan ikifika wengi ulegea na wengine ujiona wanapitia kipindi kigumu cha mateso.
Hivi kwa ndugu zetu waislamu shida inakuwa nini
Hapo ndo dini yao inapofeli.Sasa mbona mnawachapa wakristo wakiwa wanakula znz kama hamshindi njaa
With due respect uislam ni mrahisi sana.Inashangaza Sana .
Mimi Mara nyingi huwa nakula mlo mmoja tu